Yaan anapiga picha bila kubonyeza kidude cha kushoot camera..., hahahahahahaha!!!!!
Unamtafuta maneno huyo jamaa hachelewi kukufungulia thread hapa,oohhhh!!...Ndio rafiki ontario lazima muelewe tu
Kuna mtu kahack simu yanguUnamtafuta maneno huyo jamaa hachelewi kukufungulia thread hapa,oohhhh!!...
Aibu sana kwa bushiri walahiAlikuwa anajaribu kuua soo, maana the only explanation ya kilichotokea is if jamaa ni insane. Ila hadi dakika ya mwisho akawa anasisitiza kwamba walionana asubuhi na wakampanga cha kusema...
Itakuwa ya mwaka jana au juzi maana nimemwona mtu ambaye namfamu na alipata matatizo mwaka juzi!Wajinga lazima wapigwe tu maana hawaishi,ila hiyo clip inaonekana ya zamani kabla hata mwili haujajaa vizuri.
Iwe ya zamani au karibu hoja yako ww ni nin hasa?,alichokiongea huyo si kweli au ni kweli,hebu tusaidie hapo ww umesimamia wapWajinga lazima wapigwe tu maana hawaishi,ila hiyo clip inaonekana ya zamani kabla hata mwili haujajaa vizuri.
Hata watanzania wanaoiamini ccm ni sawa tu na hao waumini. Ni kuomba baraka za Mungu tutoke kwenye hii minyororo.Biblia inaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa haikukosea. Lakini bado utashangaa wanaojiita walokole a.k.a wapendwa wataendelea kumuamini tu! Hawa jamaa ni wafanyabiashara tuu.[emoji36]
Sinaga imani na so called wanabii na mitume,ni wapiga deal kama wengine tu kina musofe/ndama/muzamil etcIwe ya zamani au karibu hoja yako ww ni nin hasa?,alichokiongea huyo si kweli au ni kweli,hebu tusaidie hapo ww umesimamia wap