Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
hahaaha mkuu utabadili mada ya Uzi sio muda!..Kuna Tapeli lingine la Forex lipo humu tz, linyoa kiduku tena..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaha mkuu utabadili mada ya Uzi sio muda!..Kuna Tapeli lingine la Forex lipo humu tz, linyoa kiduku tena..
Nyie ndio wafuasi wenyewe wa huyo nabii,hivi mtazinduka lin huko usingizin,anyway wanasemaga mapongo hawaishagi...Haters at work......!!! Sijui kama mtamweza huyo Nabii
Aiseeee,i believe in Jesus but sio huyo jamaaHakika umeongea ukweli ....Mimi na declare huyu nabii ni role model wangu...I used to trust and appreciate him.
Sio kwa hili tapeli tunalikataa kwa jina la Yesu KristoKwa sie wa kristo, yesu alipuuzwa saana. Leo baada ya miaka elf 2000, dunia nzima inamkubali. Kwahio kuweni makini munapo critic
Sio kwa hili tapeli tunalikataa kwa jina la Yesu KristoKwa sie wa kristo, yesu alipuuzwa saana. Leo baada ya miaka elf 2000, dunia nzima inamkubali. Kwahio kuweni makini munapo critic
Sio kwa hili tapeli tunalikataa kwa jina la Yesu KristoKwa sie wa kristo, yesu alipuuzwa saana. Leo baada ya miaka elf 2000, dunia nzima inamkubali. Kwahio kuweni makini munapo critic
Tuaze na gwajay basi auNa wale wanaofanana naye hapa nchini wachukue tahadhali, namimi najipanga kwenda kuwategea mtego
Kuna moja niliona anomba iPad ili amuoneshe mmoja kati ya waumini wake mwanae aanaeumwa.kumbe alikua kesha mpanga huyo mwenye iPad na picha ya mtoto ilikua ipo tayari kwenye iPad juu kabisa, alichofanya ni kuclick tu picha ikaja juu..watu walishangilia hatari.
Siku ya mwisho asee tutashangaani huko moton au mbinguni!!
Daah! Mkuu jichunguze vizur nakuhakikishia kuna kitu hakiko sawa ndan yakoDont touch my annointed one, ndivyo neno lisemavyo. Hata mitume ambao leo twawaheshimu walidharaulika sana enzi zao. Wote Yesu na Mohamad, na mitume yote walio wahi kueneza injiri. Haya mbo yali kuwepo, yapo na yatakuwepo.
Hizi dharau au kubeza zitawapeleka pamba.
Kuwa na PhD na kuwa na uwezo wa kufikiri ni vitu viwili tofautiNapenda pale ninapoona manabii hawa wanawapiga mpk Viongozi wa nchi na watu na ma PhD yao! Safi sana wachungaji!
Chanzo cha utajiri wake ni sadaka, kuwekeza sio jambo bayaWengi nyie mloleta hizo video kutoka youtube hamjui hata mnachojaribu kuongea,unachukua kipande cha video arafu unakuja kumsema mtumishi wa MUNGU,usiyoyajua usishadadie kuongea,mfatlieni huyo alieanzisha bushiri must fall ameishia wapi ? kwa taarifa yenu Prophet bushiri hategemei sadaka katika kuendesha maisha yake anaviwanda vya madini kamavile acacia na viwanda vya nguo vipo china amewekeza kwenye mahotel dubai,sio maskini kama wewe uliyeenzisha hii mada hapa