FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #41
Kuna Tapeli lingine la Forex lipo humu tz, linyoa kiduku tena..Akimaliza hapo anahamia Forex hadi raha!!..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Tapeli lingine la Forex lipo humu tz, linyoa kiduku tena..Akimaliza hapo anahamia Forex hadi raha!!..
Mimi mwenyewe mwanzo nilikuwa naona aibu kuangalia mtu anavyoumbuka mbele ya kadamnasi, ni aibu sana!!Mbona mimi ndo ninaona aibu kuangalia jamani [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
duuuu aise nimeshindwa kushangaaMimi mwenyewe mwanzo nilikuwa naona aibu kuangalia mtu anavyoumbuka mbele ya kadamnasi, ni aibu sana!!
Anajidai kwamba amelijua jina lake bila kuambiwa, lakini anapomuuliza anamuumbua kwamba walishakutana kabla na akampanga nini cha kuongea mida ya asubuhi kabla ya misa, AIBU,AIBU,UTPELI!! Ona video
Kwahiyo hii inabadilisha nini juu ya tunachokiona kwenye video hizi? Mfano hiyo anajidai kupiga picha na ipad kumbe amebonyeza gallery; lete hoja sio taarab, ngonjera na kulia lia kutafuta huruma. No mercy for fake pastors ni kuwaaibisha na kuwavua nguo tu..Dont touch my annointed one, ndivyo neno lisemavyo. Hata mitume ambao leo twawaheshimu walidharaulika sana enzi zao. Wote Yesu na Mohamad, na mitume yote walio wahi kueneza injiri. Haya mbo yali kuwepo, yapo na yatakuwepo.
Hizi dharau au kubeza zitawapeleka pamba.
Yeye mwenyewe ndio anajipuuza kwa kubonyeza gallery kwenye ipad halafu anadanganya kwamba kapiga picha, be objective please!Kwa sie wa kristo, yesu alipuuzwa saana. Leo baada ya miaka elf 2000, dunia nzima inamkubali. Kwahio kuweni makini munapo critic
Haters at work......!!! Sijui kama mtamweza huyo NabiiIwe ya zamani au karibu hoja yako ww ni nin hasa?,alichokiongea huyo si kweli au ni kweli,hebu tusaidie hapo ww umesimamia wap
Hakika umeongea ukweli ....Mimi na declare huyu nabii ni role model wangu...I used to trust and appreciate him.Dont touch my annointed one, ndivyo neno lisemavyo. Hata mitume ambao leo twawaheshimu walidharaulika sana enzi zao. Wote Yesu na Mohamad, na mitume yote walio wahi kueneza injiri. Haya mbo yali kuwepo, yapo na yatakuwepo.
Hizi dharau au kubeza zitawapeleka pamba.
Kwani hiyo video unayoiona haiwezi kutengenezwa.....na ndo maana video haikubaliki mahakamaniKwahiyo hii inabadilisha nini juu ya tunachokiona kwenye video hizi? Mfano hiyo anajidai kupiga picha na ipad kumbe amebonyeza gallery; lete hoja sio taarab, ngonjera na kulia lia kutafuta huruma. No mercy for fake pastors ni kuwaaibisha na kuwavua nguo tu..