Nabii Bushiri aaibishwa na muigizaji aliyemlipa kutoa ushuhuda wa uongo stejini

Nabii Bushiri aaibishwa na muigizaji aliyemlipa kutoa ushuhuda wa uongo stejini

Biblia inaposema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa haikukosea. Lakini bado utashangaa wanaojiita walokole a.k.a wapendwa wataendelea kumuamini tu! Hawa jamaa ni wafanyabiashara tuu.[emoji36]

Kwan bibilia haina andiko la wokovu? Afu bibilia haisemi ila wewe waisemea hata mchawi anabibilia basi ingekuwa inamtetemesha kama inasema ingemgomea Omba roho mtakatifu akushukie usome ufunuliwe.
 
Wapo wengi ila kuwasema ndio shughuli,biblia inasema wasiguswe Bali mungu atadili nao mwenyewe.

Ipe maiki bibilia iseme kwa sauti na bible haikupelek mbingun bal ni daraja na inaua sana bibilia inasema jaman how ikasema. Mbona imeandikwa usiabudu sanamu watu na ma phd wanaabud Isaya 44 : 9-22 na kuyabusu ma mbao na kutembea na msalaba shingon eti ishara haha. Mimi sipo upande wa bushiri na mi ni rc nlieona mwanga shetan ndo ulimwengu wake huu
 
Angalia 3:04 jamaa alivyokuwa amekaa standby kujirusha, hahahahah...;daaaaah...!!

Hahaha, yaan kidogo wamvunje miguu yule bibi wa kizungu..., hahahah!
 
Acha kabisa, mpaka unakubali kutapeliwa na hawa watu basi muda umefika ubebe hata sembe upeleke China!
Heri ya hiyo kuliko hawa, matapeli wakubwa..
 
HIVI SANAMU NI ZIPI WAKRISTO WENZANGU SBB UKRISTO NI KUISHI AMRI ZA MUNGU NA SHERIA ZAKE NA HUKUMU ZAKE SANAMU AMBAZO TUMEZUILIWA KUZIABUDU NI ZIPI HIZO ??????????SIZIONAGI NAONA TUNADUNDA NAZO TU ETI ISHARA ISHARA GANI YESU YU HAI
 
Hapa anajifanya hajui walipo wakati alishaset watu wakae na mic standby pembeni yao..., uigizaji na usanii wa hali ya juu, hivi watu wanaamini vipi huu utapeli?
 
Baada ya kuwapiga manyumbu mpunga wa kutosha akaona amnunulia binti yake wa miaka minne gari aina ya Masserati Lavante yenye thamani ya kama milioni 200
 
Tangazo la biashara la mafuta ya simba wa Yudah, kama tangazo la maji ya Kilimanjaro vile, daah.., angalia mwisho..
 
Kivideo cha Kinaija crazy umeamua kukileta hapa uonekane na wewe unajua kutoa Nyuzi
 
Ni rahisi mno kuwadanganya binadamu kutumia dini, hata Jesuis alituonya sana lakini je tutafanyaje kuwabaini hawa manabii wa uongo?
 
Wengi nyie mloleta hizo video kutoka youtube hamjui hata mnachojaribu kuongea,unachukua kipande cha video arafu unakuja kumsema mtumishi wa MUNGU,usiyoyajua usishadadie kuongea,mfatlieni huyo alieanzisha bushiri must fall ameishia wapi ? kwa taarifa yenu Prophet bushiri hategemei sadaka katika kuendesha maisha yake anaviwanda vya madini kamavile acacia na viwanda vya nguo vipo china amewekeza kwenye mahotel dubai,sio maskini kama wewe uliyeenzisha hii mada hapa
pesa haitoshi kamanda
Dont touch my annointed one, ndivyo neno lisemavyo. Hata mitume ambao leo twawaheshimu walidharaulika sana enzi zao. Wote Yesu na Mohamad, na mitume yote walio wahi kueneza injiri. Haya mbo yali kuwepo, yapo na yatakuwepo.
Hizi dharau au kubeza zitawapeleka pamba.
 
Back
Top Bottom