Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Tapeli hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na wewe Tapeli au bado unapenda kua kitimoto kama huyo kwenye AvatarTapeli hilo
Nipe tu like uliyoifuta usiogope jombaaFungua lako na wewe uwapige manyumbu ununue bugatti veron
Hiyo video ni story ya kuambiwa? Ipi sasa ndio itakuwa sio ya kuambiwa kama hii ni ya kuambiwa?Basi Usiyaonee kijicho maendeleo ya mwingine kwa story za kuambiwa
Anajidai kwamba amelijua jina lake bila kuambiwa, lakini anapomuuliza anamuumbua kwamba walishakutana kabla na akampanga nini cha kuongea mida ya asubuhi kabla ya misa, AIBU,AIBU,UTPELI!! Ona video
Lowassa.... Alidai atakayeshinda uchaguzi zanzibar ndio atakuwa Rais wa TZ .... Kituko kashinda lowassa zanzibar kwa mujibu wa NEC ila aliyeapishwa ni magufuliNani humu amewahi kutapeliwa na bushiri acheni uhuni.Mimi sijawahi kumuona MTU anayelalamika ametapeliwa isipokuwa wahuni ambao wao hulalamika badala ya hao waliotapeliwa wasiojulikana.
WIVU.UMASIKINI UNACHANGIA.Wengi wanaolalamika walalahoi tu.
Kuna ile video clip anachoma charms(shanga na vitu vitu vya kiganga) akatumia sayansi ya kuchochea moto uwake ili vile vitu viungue akafanikiwa.Kila mtu huyu jamaa anayemfanyia prophecy, huwa maswali yake ni hayahaya na anayarudia mara nyingiiii. Do I know you? Have we met before? Did you tell me your name before? Did you send an email to me?'' and so forth. Yaani mpaka leo hajiamini kama wafuasi wake hawaamini miujiza yake? Kuna tatizo mahali flani.
Kuna ile video clip anachoma charms(shanga na vitu vitu vya kiganga) akatumia sayansi ya kuchochea moto uwake ili vile vitu viungue akafanikiwa.
Waumini wake wakaamini kwamba Miujiza ya Kimungu ndio iliyofanya moto uwake na kuunguza vitu vile.
Sasa cha kuchekesha yeye mchungaji fake bushiri akaanza kusisitiza "No body Put Fire there Watch" huku anarudia maneno hayo mara nyingi.
Kwakweli labda atakua anatumia nguvu za giza kuwapumbaza waumini wake, maana si kwa uongo wa waziwazi kiasi kile.
Kumtumikia Mungu kuna faida
Bushiri paid me to fake miracles – South African woman revealsKumtumikia Mungu kuna faida
Nakwambia wafuasi wao wapo humu! Ila watu wanazidi kujitambuwa, itabidi hawa matapeli na waongo wakubwa watafute kazi zingine tu..Story za kuambiwa zipi? Hivi Kwa akili yako unawaamini hawa wapiga deal kina Bushiri,Mlevi wa Konyagi na Yule aliyemzalisha Mke wa mtu mwenye kesi mahakamani? Sisi tunachopinga ni kuwatapeli watu kwa mgongo wa dini.
Nabii Askofu Mwingira agoma Kupima DNA, ni katika kesi ya kuzaa na mke wa mtu
Kwa hii kashfa, Mchungaji Anthony Lusekelo (Mzee wa Upako) atajisafishaje?
Watafute kazi halali za uzalishaji mali/ huduma, huu ushenxi wanaoufanya ni wana-take advantage ya watu wenye shida mbali mbali za kiafya na kiuchumi, hii si sahihi..!Nakwambia wafuasi wao wapo humu! Ila watu wanazidi kujitambuwa, itabidi hawa matapeli na waongo wakubwa watafute kazi zingine tu..
Deadly mindSiku hadi siku ALLAH anawaonesha vitu wazi kabisaa juu ya hawa wanaojiita Mitume,
Lkn sisi binaadam kulielewa hilo swala haiwezekani.
Jamaa ameshushuliwa hadharani kabxaa,bado waumini wakiambiwa neno na huyo Mtume Uchwara wanashangila[emoji1321]
Hapa ni dhahiri inaonesha sisi waafrika akili zetu huwa zinakuja saa6 usiku na saa 12 asubuhi zinaondoka[emoji1321]