Nabii Bushiri aaibishwa na muigizaji aliyemlipa kutoa ushuhuda wa uongo stejini

Nabii Bushiri aaibishwa na muigizaji aliyemlipa kutoa ushuhuda wa uongo stejini

366526FD-4528-4E2B-87B2-A3A36C5F5466.jpeg
 
nikikosa ch kufanya ndio huwa namwangalia bwan lusekelo. ile ni sanaa mabisa lakini cha kushangaza watu kila siku wanajaa hko
 
Napenda pale ninapoona manabii hawa wanawapiga mpk Viongozi wa nchi na watu na ma PhD yao! Safi sana wachungaji!
The teteeee yupo kiongozi mmoja kwenye nchi ya wadanganyika anajidai ana akili kuliko wa danganyika wote kumbe nalo lilienda kunyeshwa kikombe cha babu pumbavu sana hii nchi
 
MIMI NAULIZA TU NDUGU ZANGU WAKRISTO, HIVI VYEO VYA UTUME NA UNABII MNAPEWA NA NANI? NA HUYO ANAEKUPENI ANAFANYA HIVYO KWA MAMLAKA YA NANI? YA MUNGU AU YA BINAADAMU?
Kwani Muhamad yeye alipewa na nani
Wengi wao wanafuata nyayo za Mohamad maana hata yeye hatujui alipewa na nani. Ni utapeli mtupu. Na usifikiri kwenye huo utapeli wanaenda Wakristo tu. watu wote wanatumbukia humo wakiwamo waislam
 
Kwani Muhamad yeye alipewa na nani
Wengi wao wanafuata nyayo za Mohamad maana hata yeye hatujui alipewa na nani. Ni utapeli mtupu. Na usifikiri kwenye huo utapeli wanaenda Wakristo tu. watu wote wanatumbukia humo wakiwamo waislam
You clumsy little fool, Muhammad S.A.W alikuja na uthibitisho beyond reasonable doubt kwamba ni Mtume wa Mungu, na ndie mtu pekee hadi leo aliekua na ujuzi wa fani zote yaani siasa, dini, philosophy, udaktari na uongozi. Hao mitume wenu nyinyi ni nothing but imbecile you hopeless deluded idiot!!!
 
Back
Top Bottom