Nabii Clear Malisa ni nani?

Nabii Clear Malisa ni nani?

▶️ Mchagga

▶️ Mnyiramba

Wawe manabii?? hawa wote wasanii jazband
 
Wafia dini mtanisamehe ila wote wanao jiita manabii au mitume , kwa sasa naona kama wasaka Tonge tu , wanatumia pepo la utambuzi kuhadaha watu .... na niseme ukweli wwngi wameamini na wataendelea kuwaamini ... hata humu wapo
Nguvu za Mungu zipo ndani yako ndiyo maana umefunuliwa siri hiyo. Wana mapepo ya utambuzi kwa njia ya kishirikina.
 
Jamaa anaona sana. Alishahahi kuielezea historia ya familia yetu vizuri sana na Wala hamna mtu Dar anatujua vyema kiasi Cha kumpa habari zangu hizo, na alinipa tote hayo siku ya kwanza tu nilipokanyaga kanisani kwake
Hiyo aliyekupa habari za ‘nabii’, ndio kampa na habari zako
 
Nabii Clear Malisa alibebwa na malaika hadi Zimbabwe vijijini kabisa kufanyiwa impartation, Kisha akarudishwa bongo na malaika
Zinduka, hizo ni nguvu za kishirikina. Mshirikana anaweza kwenda na kurudi Urusi au Ukraine kwa dk 0.
 
Na akili zimeshikwa kweli kweli .... wafrica sisi cjui nani katuloga
Afadhali wangeturoga tu bila kurorageka! Tatizo tayari tumerogeka.
Lakini mimi nimepona. Nadhani na wewe umepona.
 
Miaka Kama mitatu iliyopita nilialikwa kanisani kwake ..kwangu alichemka mazima eti ananiambia "kazini kwako wiki ijayo boss wako atakupandisha cheo kikubwa" halafu akaniuliza umeajiriwa nkamwambia hapa nimejiajiri akasepa zake kwa mtu mwingine ..NAMWONA MSANII SANII SANA hata kipindi kile Cha corona imeanza akasema itaisha Mwezi ujao....inshort ni Nabii shillah type ..mpigaji tu wa mjini usiku anashinda sinza kwenye masaloon anapiga story na masela
Kuna siku naangalia Tv.. alikua anamtoa mtu pepo.. hilo pepo likawa linaongea kiingereza. Likajitambulisha kua ni lucifer ... Sasa hyo ngeli yenyew ilivyo broken.. nkasema hiv lucifer anaweza ongea brocken english namna hii. Toka siku ile huyu mtu namwangaliaga nasema dah... Halaf hapo waumin wanashangalia balaaa... Ni kama yule bushir kuna video et ana float hewan kwenye ngaz.. ipo youtube ichek...
 
Back
Top Bottom