Nabii Flora wa Mbezi Beach

Status
Not open for further replies.
Kuran bila Biblia ni sawa na nyumba bila msingi. Ni sawa na kupe anavyodai eti naye ni sehemu ya ng'ombe

Ni kinyume (it is the opposite).

Biblia bila Quran ni sawa na nyumba bila msingi.
 
Kama 'kujichubua', dada huyu 'kajichubua' kweli kweli !!
Vinginevyo, labda taratibu anapoteza rangi yale ya asili na kuwa 'mzungu' !!
Duh !!
 
msaada jamani! imani ya nabii huyu na yule nabii Mkumbo ni sawa sawa au?
 
Hilo kanisa litakua na wanaume wengi sana.

Kwa mzee wa upako, wamejaa wanawake.
Flora akiwa mke wa Mzee wa upako, na wakaunganisha makanisa yao, bila shaka watapata waumini wengi wanaume na wanawake!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…