Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
k
Kkwa mujibu wa Qur'an, Mwenyezi Mungu anasema hajawahi kutuma Nabii Mwanamke !
![]()
Pamekua na makanisa mengi ambayo watu wanakimbilia kupata huduma za kiroho na kimwili. Na Nabii Flora ni mmoja wa manabii ambaye amefanikiwa kupata watu wengi
nani alitoa habari za kufufuka kwake kwa mara ya kwanza?Sio Qur'an hata kwenye Biblia Yesu hakuwahi kuwa na mtume mwanamke na hata kabla ya Yesu Ukisoma Agano la kale wale wote waliotumiwa na Mungu waliuwa wanawake.me ni mwanake lakini siungu kabisa hii kitu
nani alitoa habari za kufufuka kwake kwa mara ya kwanza?
hata enzi hizo ilkuwa ngumu kupokea ushahidi wa mwanamke, lkn ilikuja kuhusu Yesu wanaume wote walifyata mkia, Ushahidi wa mwanamke ukakubalika. Mwanamke ni kiumbe chema kama mwanaume
sawa asili itabaki asili, lakini hebu tujinyumbulishe kidogo, dhambi ya mwanamke kuhudumu madhabahuni iko ktk eneo lipi hasa? Maana nimeona madhehebu mengi hasa ya Kikristo yakipinga mwanamke kusimamam madhabahuni, wengine wanatumia nyaraka za Paulo, ok, siwapingi lkn kosa liko wapi akisimama? Hebu ndg yangu Chriss nisaidie ktk hili.Nakubaliana kabisa na wewe na hakuna niliposema mwanamke ni kiumbe ovu.Ila tu nina mtizamo wangu ambao unanaiambia asili itabaki kuwa asili
sawa asili itabaki asili, lakini hebu tujinyumbulishe kidogo, dhambi ya mwanamke kuhudumu madhabahuni iko ktk eneo lipi hasa? Maana nimeona madhehebu mengi hasa ya Kikristo yakipinga mwanamke kusimamam madhabahuni, wengine wanatumia nyaraka za Paulo, ok, siwapingi lkn kosa liko wapi akisimama? Hebu ndg yangu Chriss nisaidie ktk hili.
![]()
Pamekua na makanisa mengi ambayo watu wanakimbilia kupata huduma za kiroho na kimwili. Na Nabii Flora ni mmoja wa manabii ambaye amefanikiwa kupata watu wengi
Huyo sio Nabii.
Hakuna unabii tena baada ya Nabii Muhammad.
Nabii Muhammad SAW ni nabii wa Mwisho.
![]()
Pamekua na makanisa mengi ambayo watu wanakimbilia kupata huduma za kiroho na kimwili. Na Nabii Flora ni mmoja wa manabii ambaye amefanikiwa kupata watu wengi
wakati yupo misri sasa yupo nchi ya ahadi amesafishwa na damu ya Yesu