Nabii GeorDavie: Yesu akirudi leo atataka kutumia gari yangu na atataka nimfuate Airport

Nabii GeorDavie: Yesu akirudi leo atataka kutumia gari yangu na atataka nimfuate Airport

Hivi hukul nikitukana si watanifungia?
Nisaidieni kumtukana.
Hawa manabii ni vipofu kweli. Yesu hata kuligusa gari lake hawezi maana ni chafu, Limetengenezwa na mikono michafu. Hawa hawamjui Yesu
 
Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.

"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
Kwa kumsaidia tu Yesu alivaa kanzu sizani kama akija atavaa suti kama yeye,pili alifuga ndevu sizani kama akija atakuwa amenyoa stairi kama yeye, alisari kwa kusujudu yaani paji lake kugusa chini,sizani kama akija atakuwa anapiga makelele na kujisifia kama yeye, Sasa sijui Yesu ataenda kusali wapi?
 
Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.

"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
Hili jitu punguani sana, Yesu aje na ndege toka wapi?
Huyo rubani wa ndege ya Yesu ni nani?
Hata mimi.,... Basi tuun nisuje kula ban ya mwaka hapa.
 
Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.

"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
Pumbavu huyu
 
Huyu MWEHU siyo Mkristu, ni MPAGANI fulani au MPINGA KRISTU anayechezea Biblia.

Kazi yake kubwa kutoa makafara. Mwaka huu mwanzoni kazika mjukuu na mwanaye. Shetani mkubwa huyu, MSIMSIKILIZE
Paganizi kabisa 😂
 
Sasa nabii ndo huyu anakosa maarifa kiasi hichii, jesus akirudi aji kubembeleza tena watu eti atembe na usafiri😂, na wakati huo huo bible inasema kila jicho litamuona ? Anarudi na utukufu wake full maana ake kila goti litapiwaa milima itaukimbia uso wake? Sasa milima iporomoke wa vibration due to power we upakie kwenye gari kwa mara nyingi joji umejivua nguo
 
Yaani Yesu Kristo akija mara ya pili kama Bwana wa mabwana Mfalme wa wafalme atamuomba kiumbe aliyemuumba ampe msaada wa usafiri? Sitasema kuwa ni kufuru! Ila nitasema huyu jamaa hajui analolisema na anahitaji maombi! Huyu ni masikini kuliko masikini wote niliowahi kuwasikia!
Hivi nikikutukana utasema nimekuonea? Hivi huo ujasiri wa kusema wewe umeumbwa na huyo mzungu mnayemuita yesu umeutoa wapi? Hivi nyinyi watu weusi akili zenu zitarudi lini na kuanza kujitambua? Yaani mpaka Leo Bado mpo kwenye minyororo ya utumwa? Aibu naona Mimi.
 
Yeye na nyie mnaoamini mtanyakuliwa mawinguni wote ni wale wale!
 
Yaani Yesu Kristo akija mara ya pili kama Bwana wa mabwana Mfalme wa wafalme atamuomba kiumbe aliyemuumba ampe msaada wa usafiri? Sitasema kuwa ni kufuru! Ila nitasema huyu jamaa hajui analolisema na anahitaji maombi! Huyu ni masikini kuliko masikini wote niliowahi kuwasikia!
Yesu hakumuumba Adam, Mungu alimleta Yesu baada ya kumuumba Adam, hivyo Yesu si Mungu ni mtoto wa Mungu.
 
Yeye katupa jiwe gizani huku akijua kabisa wanakondoo hawana akili yoyote hivyo lazima wapandishe mori 😁😁

Hata walioleta hizi dini hawakutegemea wapumbavu ni wengi kiasi hiki
 
Back
Top Bottom