Nabii Hakubaliki Nyumbani! Godbless Lema ni Nabii? Alianza na Ndoto, Ikatimia!, Akaja na Sabaya, Ikatimia!, Sasa ni Makonda, Itatimia? Asipuuzwe!

Nabii Hakubaliki Nyumbani! Godbless Lema ni Nabii? Alianza na Ndoto, Ikatimia!, Akaja na Sabaya, Ikatimia!, Sasa ni Makonda, Itatimia? Asipuuzwe!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu fulani za unabii kama wa upako fulani, wakilisema jambo, linakuja kutimia!, kauli zao ni ama zina power ya umbaji ndani yake, wakilisema jambo kauli zao zinaliumba hilo jambo linakuja kutokea, ama wanakuwa wamepewa maono, wanayasema na yanatokea kweli.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, kwanza kitendo tuu cha kumpa mtoto jina la baraka Godbless, jina hili kwa Kiswahili ni Mungu Mbariki,jina hilo linakuwa limeachia upako fulani,mwenye jina hilo anabarikiwa!。 Godbless Lema ni Baraka!

Ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je itatimia?.

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Mimi kwa upande wangu manabii wa aina hii nimewahi kuwazungumza sana humu.
Japo Makonda mwenyewe pia sio mtu wa mchezo mchezo, ni mpakwa mafuta wa Bwana. Na huu ni uthibitisho Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

Hata hivyo nashauri, Lema akisema kitu, asipuuzwe!, ni
muhimu kwa mhusika kuchukua hatua for doing the right thing kabla ya la kumfika halijamfika, ila pia kama wana ushahidi usiotia shaka wa uhusika wa huyu dogo kwenye lile shambulizi, si wauweke mezani wote tuuone, au wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze?.

Paskali
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu kama za upako fulani, baadhi ya kauli zao ama zina umba, ama zina maono.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je Itatatimia?

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Nashauri, asipuuzwe, ila kama wana ushahidi, si wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze.

Paskali

Huko kunakohusika ndio sehemu inayotumika kuficha uovu wa viongozi.
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu kama za upako fulani, baadhi ya kauli zao ama zina umba, ama zina maono.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je Itatatimia?

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Nashauri, asipuuzwe, ila kama wana ushahidi, si wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze.

Paskali



Itatimia lakini kuna sharti moja tu kwenye haya mambo. Kesho mfano Makonda akienda kuomba msamaha kwa wale aliyo waumiza kwa roho moja na kuomba msamaha ikiwa ni kukubali yote aliyofanya atasamahewa na Mungu vinginevyo yatamkumba. Kwasababu anaongea kwa hisia asipuuzwe
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu kama za upako fulani, baadhi ya kauli zao ama zina umba, ama zina maono.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je Itatatimia?

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Nashauri, asipuuzwe, ila kama wana ushahidi, si wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze.

Paskali

Umesahau kuna ya Ndugai nayo ilitimia.
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu kama za upako fulani, baadhi ya kauli zao ama zina umba, ama zina maono.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je Itatatimia?

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Nashauri, asipuuzwe, ila kama wana ushahidi, si wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze.

Paskali

Utetezi wa juzi wa Makonda kuwa siku ya shambulio la Lisu alikuwa kwenye uzinduzi fulani hapa Dar wakati si kweli. Imefanya tuhuma za Lisu kuwa yeye ni muhusika kwenye shambulio lake kupata nguvu kubwa. Hakuna namna shambulio la Lisu halikufanywa kwa maagizo ya Magufuli, na Makonda ndio alikuwa mtekelezaji mkuu. Lakini kwakuwa tuko kwenye utawala wa kulindana, bado Makonda atakuwa salama.
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu kama za upako fulani, baadhi ya kauli zao ama zina umba, ama zina maono.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je Itatatimia?

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Nashauri, asipuuzwe, ila kama wana ushahidi, si wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze.

Paskali

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!,...🥺🤔🙇🏿‍♂
 
Makonda ni jambazi ni vile tu sasahivi hatuna utawala

Nilipoona Magufuli kamnyima ubunge 2020 nikajiridhisha pasina Shaka kwamba makonda ni jambazi

Makonda hata ujumbe wa nyumba kumi hatakiwi kupata Ila kwa serikali za kuhuni Kama hizi za wakina Samia ataendelea kupeta mpaka atakapokuja Rais serious na kumkamata!!!
 
Wala haihitaji unabii kujua Magufuli siku zake zilikuwa zinahesabika , kampeni siku 2 mapumziko siku 8 , kila msafara yuko na air cooler nyuma huyu alishaonyesha hayuko fit kuwepo ofisini.

Haihitaji unabii kujua Sabaya alikuwa jambazi matukio kama lile la kutumia number plate za ubalozi kuvamia Protea Aishi halikuwa jambo dogo kidiplomasia.

Haihitaji unabii kujua Makonda ni wa kustahili jela , tukio la Clouds , tukio la Lissu , Ban ya US.
 
Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa ~~~ Nabii Lema

Nabii uchwara aliyeshindwa kuacha legacy yoyote Arusha, pia ameshindwa kuongoza kanda ya kaskazini vijana wamemgomea.

Mke wa Lema analelewa na nani Canada?
Kwani lowassa hakuwa mwizi? Na fisadi?

Ulitaka alipoletwa chadema na fisadi mwenzie mbowe watu wakimbie chama waende wapi CCM?

Kwenye majizi na majizi?
 
Wanabodi

Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu kama za upako fulani, baadhi ya kauli zao ama zina umba, ama zina maono.

Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.

Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je Itatatimia?

Msikilizeni hapa

View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM

Nashauri, asipuuzwe, ila kama wana ushahidi, si wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze.

Paskali

Wanamlinda Makonda ulinzi wa kibinadamu ila wakati utatimia.
 
Wala haihitaji unabii kujua Magufuli siku zake zilikuwa zinahesabika , kampeni siku 2 mapumziko siku 8 huyu alishonyesha hayuko fit kuwepo ofisini.

Haihitaji unabii kujua Sabaya alikuwa jambazi matukio kama lile la kutumia number plate za ubalozi kuvamia Protea Aishi halikuwa jambo dogo kidiplomasia.

Haihitaji unabii kujua Makonda ni wa kustahili jela , tukio la Clouds , tukio la Lissu , Ban ya US.
Makonda ndani ya CCM ndiko maadui wake wengi walipo. Ni suala la muda tu hata mimi nakubali. Atakuja kulipa yote aliyofanya.
 
Back
Top Bottom