Nabii Hakubaliki Nyumbani! Godbless Lema ni Nabii? Alianza na Ndoto, Ikatimia!, Akaja na Sabaya, Ikatimia!, Sasa ni Makonda, Itatimia? Asipuuzwe!

Siku ikaingia Serikali inayotetea haki, muuaji Bashite atakuwa amesamehewa sana kama atafungwa maisha, maana hukumu yake halali kwa uovu alioufanya ni kunyongwa hadi kufa. Lakini kwa vile bado tupo kwenye utawala wa kishetani, ataendelea kuwepo uraiani ila akiwa hana amani ya moyo.
 
Kuwa nabii sidhani ila usikute anajuwa ni nani anayepanga haya matukio na ndiyo maana anawahi kuyasema akijuwa yatakayojiri.
 
Ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa ~~~ Nabii Lema

Nabii uchwara aliyeshindwa kuacha legacy yoyote Arusha, pia ameshindwa kuongoza kanda ya kaskazini vijana wamemgomea.

Mke wa Lema analelewa na nani Canada?
Je aliyowahi kutabiri yalitimia ama la??? Weka kumbukumbu comment yako. Kuna siku utatamani kufuta. Kuna mtu alikuwa na kiburi kama Ndugai?? Mh Lema alimuonya ama la na je yuwapi sasa??
 
Ya sabaya ilikuwaje ? Na yuko wapi ?
 
Mungu aweza kumsamehe bila shaka, ila sheria za binadamu zitambana endapo ushahidi wa kumtia hatiani utawasilishwa
 
Je aliyowahi kutabiri yalitimia ama la??? Weka kumbukumbu comment yako. Kuna siku utatamani kufuta. Kuna mtu alikuwa na kiburi kama Ndugai?? Mh Lema alimuonya ama la na je yuwapi sasa??
😂 😂 😂 Sasa Ndugai kimemkuta kitu gani zaidi ya kumyanganywa uspika?

Ndugai mpaka muda huu yuko kwenye mfereji wa ulaji na mwakani si ajabu akarudi akiwa na cheo kipya kabisa
 
Lema hawezi kuwa nabii ila Makonda naye ana tuhuma nyingi sana chafu. Waamerika hawawezi kukurupuka bila ushahidi. "Kudhulumu watu haki ya kuishi" ina maana kuua. Waamerika walitumia tu tafsida. Makonda na Sabaya hawastahili kabisa hata kuwa uraiani. Ushenzi wa Sabaya ambao haukufika kwenye media ni mwingi mno. Hata Gambo naye ni walewale ila mjanja mjanja anajua kucheza na nyakati.
 
Chakubanga22
 
Makonda ndani ya CCM ndiko maadui wake wengi walipo. Ni suala la muda tu hata mimi nakubali. Atakuja kulipa yote aliyofanya.
Kabisa mkuu nilishangaa sana yule mjinga anapata bravado ya kuongea na waandishi makanjanja wamamuuliza kisa cha kupigwa ban kuingia US eti anawaambia ni sababu ya kukemea ushoga.

Hakuna mwandishi hata mmoja aliyemuuliza kuzuia haki ya kuishi alifanya kwa nani katika makosa yale.
 
Makonda ana dharau sio ya nchi hii.
Nilifiatilia akiongea na viongozi wa dini ni aibu tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…