Man filandu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2023
- 412
- 402
Unauliza swali wakati majibu unayo. Wewe unaangali mfereji wa ulaji wakati mwezako anaangallia heshima aliyoikosa katika jamii popote pale atakapopita, maana suala la fedha hata yeye anajua kwake sio issue, kwa kuwa wewe ni lofa lazima utawaza hela.π π π Sasa Ndugai kimemkuta kitu gani zaidi ya kumyanganywa uspika?
Ndugai mpaka muda huu yuko kwenye mfereji wa ulaji na mwakani si ajabu akarudi akiwa na cheo kipya kabisa
Kuhusu Paul Makonda na uchafu wake, hiyo haina ubishi na wala hata sio ishu ya kuhusisha unabii wowote bali ndiyo hali halisi inayomkabili mbeleni asipojua namna ya kurekebisha makosa yake...Wanabodi
Tukubali tukatae watu hatulingani, kuna watu wana nguvu kama za upako fulani, baadhi ya kauli zao ama zina umba, ama zina maono.
Mmoja wa watu hawa ni Godbless Lema, ila kama kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani!, inawezekana huyu Godbless Lema ni kama nabii fulani ?.
Alianza na ile ndoto yake fulani, ikatimia!, akaja na issue ya Sabaya, ikatimia!, Sasa amekuja na issue ya Makonda, je Itatatimia?
Msikilizeni hapa
View: https://youtu.be/nGgpxUj3JLc?si=QckVGgJFSWHoypzM
Nashauri, asipuuzwe, ila kama wana ushahidi, si wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze.
Paskali
πββοΈπ―πππππ€πWala haihitaji unabii kujua Magufuli siku zake zilikuwa zinahesabika , kampeni siku 2 mapumziko siku 8 huyu alishonyesha hayuko fit kuwepo ofisini.
Haihitaji unabii kujua Sabaya alikuwa jambazi matukio kama lile la kutumia number plate za ubalozi kuvamia Protea Aishi halikuwa jambo dogo kidiplomasia.
Haihitaji unabii kujua Makonda ni wa kustahili jela , tukio la Clouds , tukio la Lissu , Ban ya US.
Uwe wa kulindana,Lakini kwakuwa tuko kwenye utawala wa kulindana, bado Makonda atakuwa salama
Kwa ishu ya Paul Makonda wala huhitaji nabii mlevi au mtakatifu sana (kama wewe)..Baba yangu pascal usijitie aibu kwa kukosa teuzi ...........wewe ni great thinker mkubwa sana nakuchukulia kama role model wangu kweli kabisa kutoka rohoni unamuita huyo mlevi nabii?? Hata maandiko hakuna sehemu waliwahi kuorodhesha kama kulikuwa na nabii mlevi..........huyo mtabiri wa taifa marehemu sheh yahaya hakuweza kutabiri kifo chake japo alitabiri vitu vingi na baadhi vikatokea kweli............sasa huyu nabii koko kaupata wapi huo ufunuo wa kumuombea mabaya mwenzake japo wote hapa duniani tutakufa..............
Kwa nembo hiiππ»ππ»ππ»moja kwa moja mtu atarajie kikutoke nini mdomoni mwako kama sio uchafu huu ulioandika??Mshaurini Lema apunguze mihemko. Hawezi nabii akatoka CHADEMA. Kwanza nabii wao alikuwa ni Mch Msigwa ambaye unabii wake anautimiza sasa kwa kuelezea kiasi gani CHADEMA ni gari bovu lililopoteza mwelekeo
Kunakohusika ndio wapi huko?.... karma pekee ndio hutoa malipo ya haki.Nashauri, asipuuzwe, ila kama wana ushahidi, si wa upeleke kunakohusika ili uchunguzi wa kijinai uanze.
Kwa sababu nimemtaja lissu au?? Nikuulize mkuu wako wangapi waliozurumiwa haki zao na hawatajwi kama lissu?? Au ndio yale yale wanakufa sudan, congo ,Burundi mnakaa kimyaa wakifa gaza ooohh tuungane tusikubali kuonewa ..........double standards............... shame on u wote wanaharakati cocoMkuu una amani ya moyo kweli ?
Ulitakiwa useme ndio au hapana ?Kwa sababu nimemtaja lissu au?? Nikuulize mkuu wako wangani waliozurumiwa haki zao na hawatajwi kama lissu?? Au ndio yale yale wanakufa sudan, congo ,Burundi mnakaa kimyaa wakifa gaza ooohh tuungane tusikubali kuonewa ..........double standards............... shame on u wote wanaharakati coco
Who is idiot?? Me or your mentor father.....listen........what gives you a reason to despise others if you even see them.......know yourself you pig.....do you think that when you have a quarrel with Makonda or you hate him, you want us all to hate him??H uyo Lissu umemtoa wapi tena...?
It's Gobless Lema vs Paul Makonda...!!
By the way, wewe huyu Makonda alishawahi kukutatulia marinda ya suruali yako siyo...?
You are talking/writing like an idiot...!
Weka kumbukumbu ya maneno yako.Baba yangu pascal usijitie aibu kwa kukosa teuzi ...........wewe ni great thinker mkubwa sana nakuchukulia kama role model wangu kweli kabisa kutoka rohoni unamuita huyo mlevi nabii?? Hata maandiko hakuna sehemu waliwahi kuorodhesha kama kulikuwa na nabii mlevi..........huyo mtabiri wa taifa marehemu sheh yahaya hakuweza kutabiri kifo chake japo alitabiri vitu vingi na baadhi vikatokea kweli............sasa huyu nabii koko kaupata wapi huo ufunuo wa kumuombea mabaya mwenzake japo wote hapa duniani tutakufa..............
Akienda jela na lile sambwanda lake lilivyonona sipati picha atagombewa kama mpira wa kona.Kuhusu Paul Makonda na uchafu wake, hiyo haina ubishi na wala hata sio ishu ya kuhusisha unabii wowote bali ndiyo hali halisi inayomkabili mbeleni asipojua namna ya kurekebisha makosa yake...
Huyu (Paul Makonda), kiburi chake kiasi cha kushindwa kutengeneza mahusiano yake na Mungu, ni lazima ataingia nacho jela huyo muda si mrefu...!
Ukoo wenu wote hakuna aliyewahi kufika CanadaNi heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa ~~~ Nabii Lema
Nabii uchwara aliyeshindwa kuacha legacy yoyote Arusha, pia ameshindwa kuongoza kanda ya kaskazini vijana wamemgomea.
Mke wa Lema analelewa na nani Canada?
Jamaa huyu achukuliwe seriously, serikali wala isimzembee hata kidogo kwani lazima atakuwa anajuwa ni nani wanaopanga haya matukio.Hata la Ndugai alijua?