Nabii kiboko ya wachawi, naona anafanya maigizo

We mtu! nilikuwa sijakujua vizuri!safi sana na hii ndio amri mpya"Upendo"
 
😅😅😅😅😅
Kuna wimbo aliwahi kuuimba Rev.Jangalason unaitwa Dini kabuli ...kautafute usikilize 🤣🤣🤣🤣
 
Ukiwa umeokoka haupaswi kuwa na mashaka na huduma yoyote ya kiroho , au mtumishi yoyote usiwe na mashaka nae
Hapana sio kweli, bibilia inatutaka tuyachunguze maandiko, tusiziamini kila roho bali tuzijaribu na kuzichunguza kama zimetokana na Mungu au la.Ukiwa mtu wa kila kitu ruksa, hata kafara watakutoa hawa manabii.
 
Nasikia kila mtu ana ndoo ya maji hapo kanisani, pamoja na kitambaa chake...

Maana mtu anaangalia wachawi wake kwa ndoo na hicho kitambaa...

Hata wanaopiga simu pia wanatakiwa wafanye hivyo...
Usanii mtupu, watu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa sahihi ya neno la Mungu. Kanisa limegeuka pango la majizi badala ya nyumba ya sala.
 
futuhi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ilo neno limenichekesha sana mpka kamasi likatoka kama pulizo mbele za watu.
 
Mungu alishasema tusitegemee wanadamu, Wa kumtegemea ni Mungu tu. Hao manabii washakuwa kama waganga wa kienyeji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…