Huyu akamatwe kwa nguvu apelekwe Hanang akawafufue watanzania waliokufa kwa mafuriko. Hatuwezi kukubali utapeli huu bila kuhoji kila siku. Na kama akishindwa kumfufua hata mmoja, atandikwe bakora.Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
daah kuna kitu hakipo sawa hii nchi ktk masuala ya diniMAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Kwa huu uhuni! Shetani huko aliko asipojipanga vyema ataondolewa kwenye madaraka yake... Maana wafuasi wake wanafanya mambo ya hatari zaidi yake...😈
Ujinga Ni mwingi aisee na ni mzigoMAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
View attachment 2832720
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki halafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Itakupasa uwe na akili mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwaelewa Hawa.
Unakubalina naye??
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2832211
Ni changamoto sana kwakweli.Huyu akamatwe kwa nguvu apelekwe Hanang akawafufue watanzania waliokufa kwa mafuriko. Hatuwezi kukubali utapeli huu bila kuhoji kila siku. Na kama akishindwa kumfufua hata mmoja, atandikwe bakora.
UNgeanza kumwambia yesu kwanzaAibu sana mtu kwa akili zako unabinuka kumuabudu huyu MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSANHadith Idadi 16,245
Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.MAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
View attachment 2832720
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki halafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Itakupasa uwe na akili mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwaelewa Hawa.
Unakubalina naye??
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2832211
TomasoUkiamini Mungu yupo kweli, hutakiwi kukataa kuwa habari hii inawezekana kuwa ya
Kuna sura Fulani kitabu Cha yerimia kina uliza mwanadamu unastaajabu hayo njoo uone ......[emoji23][emoji23][emoji23] Usisitaajabu mkuu Nchi hii inawajinga wengi sana kuwahi kutokea!KWA SASA INJILI ILE YA KINA MOSES KULOLA, MWL.MWAKASEGE, PASTOR MABOYA. HAIPO TENA
NI MWENDO WA BIASHARA YA KUUZA HISIA, IMANI, FARAJA KWA WAPUMBAVU KATIKA IMANI YA KRISTO.
NANI ALIKUWEPO MAMAKE ALIPOFARIKI?
NANI ALIKUWEPO MAMAKE AKIFUFULIWA?
HUKUWEPO! NA MAKOFI YA KUSHANGILIA UNAPIGA!! UNASHNGILIA NINI? NANI?
Wanawake Ndo mtaji wa manabii WA mchongo kama hawwAlooo basi sawa, nasikia wanawake wanashangilia kwa vigelegele kabisa 😀
Kuna vitu ukiona au kusikia unashindwa hata ustaajabu Kwa style ipi! Itakupasa uwe mjinga wa kiwango kikubwa sana kukubali na kushangiliaNilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Serikali ndo inashida Kwa hili mbona kagame kawamudi Hawa matapeliWanawake waokolewa kutoka kwa hawa manabii tapeli. Mwisho mauaji kama ya Kenya yatatokea hapa sababu waumini wameisha tekwa akili na nabii tapeli anataka wasalimishe mali zao na wafe
Unaamini kabisa kamfufua mama yake?Haya mbona Yesu alisema wazi yatafanywa na watakaomfuata? Ulimwengu wa Roho una taratibu (siri) zake, hivyo ukiona yeye huyu kaweza, amejua siri ya kufufua watu.
Yohana Mtakatifu 14:12
Swali ni, wewe unajua siri zipi? Ulinzi binafsi ushajua siri yake walau, tuache huyu mwenye kusaidia wafu kufufuka? Ukijua siri ya Ulinzi, utahisi kawaida ila kwa wengine itakuwa ajabu (kiasi kwamba unaitwa wa 'mchongo' na yule asiye na ufahamu katika ulifanyalo).
Hanang mbali kote huko huohuo mtaa anaoishi hakuna watu wanaokufa?Huyu akamatwe kwa nguvu apelekwe Hanang akawafufue watanzania waliokufa kwa mafuriko. Hatuwezi kukubali utapeli huu bila kuhoji kila siku. Na kama akishindwa kumfufua hata mmoja, atandikwe bakora.