Huyo naona ameenda mbali.
Yupo mmoja huku kwetu Arusha yeye baada ya kuona Nchi zinazoripoti visa zinaongezeka, kwenye tarehe za mwanzoni za mwezi march akatangaza unabii kuwa corona itaingia na Tanzania.
Kwa hivi sasa Waumini wake wanasheherekea kutimia kwa unabii huku Wasaidizi wake wakihimiza utoaji wa sadaka lukuki kama sehemu ya kupongeza unabii huo.
Wote dugu moya!Huyo Malisa nitofauti na Gwajima / mzee wa upako na mwamposa.?
Mkuu achana na hao manabii uchwara.Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismaili na Wakristo ni uzao wa mwanae wa pili Isaka.
Sheria ya Mungu ni sheria ile ile moja ya Musa, Kikristu ni Torati, Kiislamu ni Taurat.
Yesu hakuja kuitengua Torati bali kuikamilisha.
Kwa mujibu mujibu wa sheria ya Mungu, hata nyama ya kitimoto au sungura ni haramu!.
Bikira Maria na wanawake wa enzi hizo walivaa hijab, ila Wazungu wakatufanya vibaya sana.
Maadam sheria ya Mungu ni sheria moja tuu ya Musa, na hakuna popote Mungu amesema mwanaume ataoa mke mmoja, hivyo kuoa mke zaidi ya mmoja sio dhambi.
P
kama anao ushahidi anasema,ila kama nayeye anaendelahwa na hisia kama wengien ni vyema akae kimya tu.Hivi kwenye biblia hakuna mahali kumeandikwa "Usiue"? Kwa ivo Askofu anatakiwa asiwaambie wanasiasa kwamba wasiue wanasiasa wenzao?
Umejuaje kama hana??kama anao ushahidi anasema,
wewe ukikuta watu kama sisi tunamsakama mtu wa Mungu kama huyo,tena bila kujari umri alio nao jua kuna jambo,either tunamfahamu yeye kiundani,ama tunakifahamu kiundani anachokizungumzia.Umejuaje kama hana??
Kumbe kama watumishi wana bei zao basi kuna wanunuzi. Hao wanunuzi ni kina nani?watu wa dini nao wana bei zao,usipofika wanakuzingua kama kawaida.
Hahahahaha.........sababu zipo wazi kabisa! Nabii Massawe au Malisa! I seee! Hata haiji.Heeee kwanini???
Sawa umeshinda, kubishana na kichaa ni ajali .Usimchukie MUNGU,wala kunichukia mimi kwasababu umewekwa karantini, au kwasababu ndugu yako amekufa kwa CORONA.Kila mtu apambane na hali yake.Asingekufa kwa CORONA bado angekufa tu hata,kwa ajali au magonjwa mengine pia wapo wanaokufa wakiwa usingizini.Mimi siamini, ukisema unaamini maana yake unakiri kua wewe huna akili. Mimi siamini, nina uhakika.
Siamini mungu sio kwa sababu ya corona, mimi nina uhakika mungu hayupo, hajawahi kuwepo na wala hajawahi kufanya chochote. Corona ni mfano tu. Sasa nyie mnaoamini ma mnaoomba Mumgu asie na uwezo wala msaada wowote, miaka na miaka mnamuomba, ukimwi, kansa, ebola, nk ni magonjwa yapo miaka na miaka, je Mungu wenu bado hajasikia maombi yetu aondoe hayo magonjwa au mambi hayajamfikia? Endeleeni kupiga kelele labda amelala, kelele inaweza kumuamsha.Sawa umeshinda, kubishana na kichaa ni ajali .Usimchukie MUNGU,wala kunichukia mimi kwasababu umewekwa karantini, au kwasababu ndugu yako amekufa kwa CORONA.Kila mtu apambane na hali yake.Asingekufa kwa CORONA bado angekufa tu hata,kwa ajali au magonjwa mengine pia wapo wanaokufa wakiwa usingizini.
Hauamini juu ya Mungu, kwasababu hajaondoa CORONA. Je wewe unachokiamini kimefanikiwa kuondoa hiyo CORONA?.
Kama ingekuwa inaweza kukaa kwenye chakula chochote basi hata kwenye ekaristi ingeweza kukaa.
Hakuna cha maana una rudia yaleyale.Jilinnde na CORONA.Siamini mungu sio kwa sababu ya corona, mimi nina uhakika mungu hayupo, hajawahi kuwepo na wala hajawahi kufanya chochote. Corona ni mfano tu. Sasa nyie mnaoamini ma mnaoomba Mumgu asie na uwezo wala msaada wowote, miaka na miaka mnamuomba, ukimwi, kansa, ebola, nk ni magonjwa yapo miaka na miaka, je Mungu wenu bado hajasikia maombi yetu aondoe hayo magonjwa au mambi hayajamfikia? Endeleeni kupiga kelele labda amelala, kelele inaweza kumuamsha.
Endelea kuomba Mungu wako aliekufa.Hakuna cha maana una rudia yaleyale.Jilinnde na CORONA.
Hakuna shida mimi naendelea, zamani mababu waliomba hadi miamba,hadi sasa kuna wanaoomba hata kondoo.Jikinge dhidi ya CORONA,wasi wasi juu ya CORONA imefanya akili zako zirudi utotoni.Unauliza maswali wanayo uliza watoto juu ya uwepo wa MUNGU.Endelea kuomba Mungu wako aliekufa.
Hii mada mungu iko juu ya uwezo wako kuelewa. Endelea na maombi.Hakuna shida mimi naendelea, zamani mababu waliomba hadi miamba,hadi sasa kuna wanaoomba hata kondoo.Jikinge dhidi ya CORONA,wasi wasi juu ya CORONA imefanya akili zako zirudi utotoni.Unauliza maswali wanayo uliza watoto juu ya uwepo wa MUNGU.
Kuna mkubwa wao alisemaga corona mwisho march 27!
Haipo juu ya uwezo wangu, Mimi naelewa ndiyo maana naamini kuwa Yupo.Nashukuru pia kwa kunipa moyo kuendelea na maombi,nitakuombea na wewe hofu ya CORONA,UKIMWI,na EBOLA vikuondokee.naona Unateseka sana unaposikia magonjwa na maradhi, kwani unataka kuishi miaka buku mh. hakimu?Hii mada mungu iko juu ya uwezo wako kuelewa. Endelea na maombi.
Mkuu tuachane na hayo, nimeshaona huna akili wala uwezo wa kuelewa haya mambo. Sababu moja kubwa ni kua wewe ni little learner. Endelea na maombi yako.Haipo juu ya uwezo wangu, Mimi naelewa ndiyo maana naamini kuwa Yupo.Nashukuru pia kwa kunipa moyo kuendelea na maombi,nitakuombea na wewe hofu ya CORONA,UKIMWI,na EBOLA vikuondokee.naona Unateseka sana unaposikia magonjwa na maradhi, kwani unataka kuishi miaka buku mh. hakimu?