Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Mayala huwa haamini uwepo was Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Mkisto Mkatoliki, ila kwenye mahusiono nimefuata asili ya kabila langu, mmoja hatoshi!.
Nilipofuatilia kwa makini kwenye Bible nikakuta hakuna amri yoyote ya Mungu ya mke mmoja, ila Wazungu ndio wameleta hizo sheria za kanisa za mke mmoja.
Niliwahi kushauri hivi
"Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?" - JamiiForums
P
 
Waumimi wengi wa dini hua sio wazima kichwani.

Utashangaa leo watu wameenda kanisani kumuomba mungu ambae ameshindwa kuondoa corona.

Mbaya zaidi utakuta kuna wengine wamefiwa na ndugu zao sababu ya corona na bado wanaenda kumuomba Mungu, sasa sijui wanaenda kuomba kitu gani? Unaenda kuomba kitu kisicho na msaada kwako?

Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.
Tuendelee kuomba wapi jomba Sasa wakati unasema tunayemwomba hatusaidii chochote..au unamaanisha nini,
 
Mimi ni Mkisto Mkatoliki, ila kwenye mahusiono nimefuata asili ya kabila langu, mmoja hatoshi!.
Nilipofuatilia kwa makini kwenye Bible nikakuta hakuna amri yoyote ya Mungu ya mke mmoja, ila Wazungu ndio wameleta hizo sheria za kanisa za mke mmoja.
Niliwahi kushauri hivi
"Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?" - JamiiForums
P
Hehehe hivi hakuna mistari kwenye Bible inayokataza mke zaidi ya mmoja P. Is it, ngoja wake wasukununu watuambie tupate majibu hapahapa P
 
Siyo nabii sema anaejiita nabii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anaitwa jina alilojitambulisha
Muadhama Polycap Cardnali Pengo
Mtume na Nabii Josephat Mwingira
Askofu Mkuu Zakaria Kakobe
Mchungaji Kiongozi, Getrude Rwakatare
Askofu Gwajima
Professor Maji Marefu
Dr. Ngwizukulu Jilala
Dr. Mwaka
etc, wote hawa ndio majina yao.
P
 
Mtu anaitwa jina alilojitambulisha
Muadhama Polycap Cardnali Pengo
Mtume na Nabii Josephat Mwingira
Askofu Mkuu Zakaria Kakobe
Mchungaji Kiongozi, Getrude Rwakatare
Askofu Gwajima
Professor Maji Marefu
Dr. Ngwizukulu Jilala
Dr. Mwaka
etc, wote hawa ndio majina yao.
P
P turejee kwenye mistari ya Bible tujue je ni mke mmoja au zaidi?which is which..wake wengi ni dhambi au sio dhambi..
 
P turejee kwenye mistari ya Bible tujue je ni mke mmoja au zaidi?which is which..wake wengi ni dhambi au sio dhambi..
Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismaili na Wakristo ni uzao wa mwanae wa pili Isaka.
Sheria ya Mungu ni sheria ile ile moja ya Musa, Kikristu ni Torati, Kiislamu ni Taurat.

Yesu hakuja kuitengua Torati bali kuikamilisha.
Kwa mujibu mujibu wa sheria ya Mungu, hata nyama ya kitimoto au sungura ni haramu!.
Bikira Maria na wanawake wa enzi hizo walivaa hijab, ila Wazungu wakatufanya vibaya sana.
Maadam sheria ya Mungu ni sheria moja tuu ya Musa, na hakuna popote Mungu amesema mwanaume ataoa mke mmoja, hivyo kuoa mke zaidi ya mmoja sio dhambi.
P
 
Waumimi wengi wa dini hua sio wazima kichwani.

Utashangaa leo watu wameenda kanisani kumuomba mungu ambae ameshindwa kuondoa corona.

Mbaya zaidi utakuta kuna wengine wamefiwa na ndugu zao sababu ya corona na bado wanaenda kumuomba Mungu, sasa sijui wanaenda kuomba kitu gani? Unaenda kuomba kitu kisicho na msaada kwako?

Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.
Yan wewe ni kiumbe wa ajabu sana. Unawashangaa wanaoenda kuabudu kanisan leo licha ya kupoteza ndugu zao kwa Corona halaf na wewe ulivyo ndorobo unamalizia kwa kusema tuombe Mungu atuondolee huu ugonjwa. Ni Mungu yupi huyo so far aliyejionesha waziwazi kutibu Corona ambaye inabidi tumuombe sote!!

Na kama hayupo Mungu aliyejidhihirisha waziwazi kwenye kutibu ugonjwa wa Corona ni kwanini kila mmoja asiendelee kumuomba Mungu wake aliyemshindia mambo mengine kwa IMANI kwamba Mungu anajibu kwa wakati wake!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo inabidi aongee,kinyume na hapo anakiwa anajiingiza kwenye kazi zisizomhusu.
Hivi kwenye biblia hakuna mahali kumeandikwa "Usiue"? Kwa ivo Askofu anatakiwa asiwaambie wanasiasa kwamba wasiue wanasiasa wenzao?
 
Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu 14!, safari bado ni mbali!.

Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.

Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.

Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.

Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana watu 14 ndani ya ka studio kadogo!, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.

Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.

Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.

Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.

Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!. Hii maana yake Nabii Malisa, ana nguvu, he has powers, swali linabaki ni jee powers hizo ni kutoka kwa nani?.
Kwenye mambo ya powers, kusema tuu "Kwa Jina la Yesu", hakutoshi!, kwasababu ni Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe alitufundisha kuwa, watakuja wahubiri watafanya miujiza na kutoa mapepo kwa jina lake, lakini sio wake.
Pasaka Njema.
Pasakali
Rejea za Manabii na Unabii
TCRA: Vipindi vya Mahubiri Kwenye TV Pia Viangaziwe/Vithibitiwe!. Mungu Yupo Ila pia Shetani Yupo! - JamiiForums

TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais... - JamiiForums

Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians! - JamiiForums

Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
Hawa watu wanaosema wamezungumza na Mungu huaga binafsi nawaogopa kama ukoma.
Sitaki kuulizwa swali kwa hii coment yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haahaaa!! "Eti Mungu Ameniambia".

Malisa bwashee !! ujue Mungu anakuona.
 
Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismaili na Wakristo ni uzao wa mwanae wa pili Isaka.
Sheria ya Mungu ni sheria ile ile moja ya Musa, Kikristu ni Torati, Kiislamu ni Taurat.

Yesu hakuja kuitengua Torati bali kuikamilisha.
Kwa mujibu mujibu wa sheria ya Mungu, hata nyama ya kitimoto au sungura ni haramu!.
Bikira Maria na wanawake wa enzi hizo walivaa hijab, ila Wazungu wakatufanya vibaya sana.
Maadam sheria ya Mungu ni sheria moja tuu ya Musa, na hakuna popote Mungu amesema mwanaume ataoa mke mmoja, hivyo kuoa mke zaidi ya mmoja sio dhambi.
P
Mkuu una maarifa lkn haya hayajajitosheleza.
Uzao ni sawa (legitimate na illegitamate)

Mavazi ni tamaduni si dini. Utamaduni wa mavazi unaendan na mazingira na nyakati za maeneo hayo. Hijabu mashariki ya kati ni kutokana na majangwa na nyika katika maeneo makubwa ya nchi hivyo wanawake waliteseka kwa upepo na vumbi hivyo katika sehemu ya kuhifadhi mihili yao. Hijabu haikuwa mavazi ya kiroma ambao walitoka ulaya.
Ulaya ina utamaduni wake wa mavazi
Afrika tunaoutamaduni wetu ambao ni ngozi za wanyama ambao unapingwa sasa kwa hifadhi ya wanyama.

Ndoa.
Mwanadamu kwa asili ni mbinafsi hivyo hatatosheka na chochote. Mke mmoja ni kukufundisha kupenda, kusamehe, kusahau, kujinyima na kuvumilia. Wake wengi ni kutangatanga kwa imani yako.
Upendo kwa asili haugawanyiki na ndiyo maana pasco tangu ulipooa mapenz yalipungua kwa wazazi wako, rafiki na ndugu yakaamia kwa mkeo na ulipozaa mapendo yakaamia kwa watoto( ubinafsi) unaendelea kumpenda mkeo kwa kuwa ametimiza mapendo yako kwake. Wake wawili unagawanyika na huwezi.
Ndoa ni takatifu kwa kuwa ni sakrement ni sehemu ya kujichotea neema hivyo daima inapaswa kuwa pure( purelarity of marriage ni upendo usiogawanyika na usafi wa moyo(zinaa) vitakufanya kuishi ktk dhamiri safi
 
Kama kweli huyu Nabii Malisa kasema haya maneno na yamerekodiwa itakuwaje kama hayo aliyosema hayatatokea. Yeye ashukuru kwa nyakati tunazoishi maana enzi za kale nabii hakitabiri na utabiri wake ni wa uongo alikuwa anapigwa kwa mawe mpaka anakufa.
 
Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu 14!, safari bado ni mbali!.

Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.

Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.

Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.

Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana watu 14 ndani ya ka studio kadogo!, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.

Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.

Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.

Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.

Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!. Hii maana yake Nabii Malisa, ana nguvu, he has powers, swali linabaki ni jee powers hizo ni kutoka kwa nani?.
Kwenye mambo ya powers, kusema tuu "Kwa Jina la Yesu", hakutoshi!, kwasababu ni Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe alitufundisha kuwa, watakuja wahubiri watafanya miujiza na kutoa mapepo kwa jina lake, lakini sio wake.
Pasaka Njema.
Pasakali
Rejea za Manabii na Unabii
TCRA: Vipindi vya Mahubiri Kwenye TV Pia Viangaziwe/Vithibitiwe!. Mungu Yupo Ila pia Shetani Yupo! - JamiiForums

TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo! Adai yeye ni zaidi ya Rais... - JamiiForums

Askofu Kakobe Asipuuzwe: Ni kama David Koresh na Camp Davidians! - JamiiForums

Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani!. Je Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika - JamiiForums
Hao wanabadilishaga maneno Sana ikienda mrama.
 
Back
Top Bottom