Waumimi wengi wa dini hua sio wazima kichwani.
Utashangaa leo watu wameenda kanisani kumuomba mungu ambae ameshindwa kuondoa corona.
Mbaya zaidi utakuta kuna wengine wamefiwa na ndugu zao sababu ya corona na bado wanaenda kumuomba Mungu, sasa sijui wanaenda kuomba kitu gani? Unaenda kuomba kitu kisicho na msaada kwako?
Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.
Duh...Waumimi wengi wa dini hua sio wazima kichwani.
Utashangaa leo watu wameenda kanisani kumuomba mungu ambae ameshindwa kuondoa corona.
Mbaya zaidi utakuta kuna wengine wamefiwa na ndugu zao sababu ya corona na bado wanaenda kumuomba Mungu, sasa sijui wanaenda kuomba kitu gani? Unaenda kuomba kitu kisicho na msaada kwako?
Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.
Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha.
Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.
Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.
Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.
Hiki anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.
Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.
Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.
Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!.
If you have time, please Watch
Pasaka Njema.
Pasakali
tunataka wamhubiri kristu,haya mambo mengine wanajiokotea tu.Haya si ndiyo maneno mnayotaka kuyasikia?? Wakisimama na kukemea uovu mnakimbilia kusema wanachanganya dini na siasa!!
Kuna mkubwa wao alisemaga corona mwisho march 27!
Askofu akiona watu wanauna kwa sababu ya siasa akae kimya??tunataka wamhubiri kristu,haya mambo mengine wanajiokotea tu.
Kuwaamini hawa wanaojiita mitume sijui manabii inahitaji utindio wa Ubongo!Kuna kitu kizuri nimekinote kwa utabiri wa huyu Nabii Malisa, tabiri zake zote kwa kila aliyepiga simu, ni mtabiri ameona nguvu za giza, nguvu za shetani zikiwakwamisha watu, hivyo amezifunga na sasa wote watabarikiwa, wenye magonjwa wameponywa instantly, na wote watafanikiwa.
P
Acha wapumbavu waendelee kupumbazwa na wapumbavu wapumbavu!Nahisi Watawala wanawaogopa manabii....au wanafungamano nao....Kama vipi wawapeleke Mlonganzila wakashirikiane na Madakari kutibu wagonjwa wa Korona!Huyo naona ameenda mbali.
Yupo mmoja huku kwetu Arusha yeye baada ya kuona Nchi zinazoripoti visa zinaongezeka, kwenye tarehe za mwanzoni za mwezi march akatangaza unabii kuwa corona itaingia na Tanzania.
Kwa hivi sasa Waumini wake wanasheherekea kutimia kwa unabii huku Wasaidizi wake wakihimiza utoaji wa sadaka lukuki kama sehemu ya kupongeza unabii huo.
Ukishaona Mhubiri anakwenda kuhiji Nigeria ujue mahabiri yake,,Ni uchawi,ushirikina,...utapeli,hata waumini waendao huko wanafuata ushirikina ...HIVI MUNGU Nl MCHOYO APELEKE NABII MBALI KOTE HUKO,AU KWA NINI AWAPE NGUVU ZA UPONYAJI WACHACHE?MBONA YESU ALIFUNDISHA WATU WOTE KUOMBA!?Kuna kitu kizuri nimekinote kwa utabiri wa huyu Nabii Malisa, tabiri zake zote kwa kila aliyepiga simu, ni mtabiri ameona nguvu za giza, nguvu za shetani zikiwakwamisha watu, hivyo amezifunga na sasa wote watabarikiwa, wenye magonjwa wameponywa instantly, na wote watafanikiwa.
P
Hata ikitokea watu wengine wakafa kwasababu ya corona atajitetea kuwa wamekufa na magonjwa yao sio coronaWanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha.
Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.
Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.
Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.
Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana ndani ya ka studio kadogo, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.
Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.
Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.
Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.
Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!.
If you have time, please Watch
Pasaka Njema.
Pasakali
Acha wapumbavu waendelee kupumbazwa na wapumbavu wapumbavu!Nahisi Watawala wanawaogopa manabii....au wanafungamano nao....Kama vipi wawapeleke Mlonganzila wakashirikiane na Madakari!Huyo naona ameenda mbali.
Yupo mmoja huku kwetu Arusha yeye baada ya kuona Nchi zinazoripoti visa zinaongezeka, kwenye tarehe za mwanzoni za mwezi march akatangaza unabii kuwa corona itaingia na Tanzania.
Kwa hivi sasa Waumini wake wanasheherekea kutimia kwa unabii huku Wasaidizi wake wakihimiza utoaji wa sadaka lukuki kama sehemu ya kupongeza unabii huo.
Haijawahi kutokea kuwa na Nabii kwa majina ya Malisa, Sambeke, Lema, Masawe, Malya, Kimaro, Ndesamburo, n.k n.k! Haiwezekani! Hata Pascal Mayalla anajua hilo.