Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Nabii Malisa: Mungu ameniambia Corona ni April tu, May hakuna Corona na hakuna atakayekufa!.

Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha.

Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.

Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.

Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.

Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana ndani ya ka studio kadogo, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.
Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.

Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.

Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.

Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!.

If you have time, please Watch
Pasaka Njema.
Pasakali
Hao manabii kanjanja tu, hivi wanadhani Mungu anaongea hovyohovyo na vijana wasaka sadaka kama hao? Tuheshimu Sayansi wasijifanye wanajua kutabili si wakaponye watu huko mahospitalini? Wao wanasubiria kufanya maigizo ya uponyaji katika makongamano
 
PASKALI hao ni Machinga wa imani na manabii wa uongo.... Full stop!!
Ningewaamini kama wangelitabiri hili janga several years or decades ago...
Otherwise tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni huku tukimaintain social distancing...
 
Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha.

Naomba kukiri leo ndio mara yangu ya kwanza kumsikia mtangazaji huyu na kuiangalia Wasafi TV siku ya Jumapili asubuhi, huwa naangalia Chomoza kumsikiliza Dr. Ellie. Mimi kwa agewise ni 50+, hivyo kuna ile natural conservative opinion kuwa kuna TV za wazee, kuna tv za watu wazima, kuna TV za vijana na kuna TV za watoto depending on seriousness of contents, Clouds TV, TVE na Wasafi TV, nilizihesabu ni TV za Vijana, hivyo huwa sizifuatilii sana, ila leo wife amengangana nimejikuta naangalia Wasafi TV.

Kipindi cha leo, Studio za Wasafi TV, wamealikwa wanamuziki wa kundi la The Voice, John Lissu, Masanja Mkandamizaji, na Nabii kijana anaitwa Malisa, kiukweli huyu dogo ametisha!.

Akiizungumzia Corona, Nabii Malisa amesema Mungu amezungumza nae kwa maneno ya unabii wa Corona, Mungu amemuonyesha kuwa mwisho wa janga la Corona, mwisho ni Mwezi huu April, kuanzia mwezi May, hakutakuwa na ugonjwa wa Corona tena, na kuanzia sasa hakutatokea tena vifo vya Corona nchini Tanzania, hata hivyo vifo vya Corona vilivyotokea, the cause sio Corona bali ni matatizo mengine ya kiafya ya watu hao ambayo hayakutajwa, hivyo Corona imewasindikiza tuu, kwani tayari waliishakuwa wako njia moja, hata bila ya Corona, ilikuwa safari!.

Kwanza hiki wanachokifanya studio ya Wasafi kwenye janga hili la Corona, is not right, hakuna any social distancing, wameleta kundi kubwa sana ndani ya ka studio kadogo, tushukuru uwepo wa Mungu mahali hapo, lakini ikitokea kuna mmoja hapo ana Corona, ni hatari sana hiki wanachofanya.
Pia anachokifanya Nabii huyu is it right?, kusema definite Corona mwisho April na hakuna tena atakayekufa kwa Corona Tanzania, live on TV?.

Kiukweli huyu Mtangazaji Lilian Mwasha is so good, ana maswali yenye akili, amempigia simu Apostle Daniel Maboyo akizungumza kutoka Arusha, akamuuliza, Tanzania kuna wahubiri wengi wa miujiza ya uponyaji tunawaona kwenye TV mbalimbali wakifanya mambezi ya uponyaji na miujiza ya uponyaji, sasa dunia na Tanzania tumekumbwa na janga la hili gonjwa la Corona, mbona hawa wahubiri hawafanyi maombezi ya kuponya Corona?, mbona hawaendi kuwaombea wagonjwa wa Corona wakaonyesha hiyo miujiza yao ya uponyaji?!.

Apostle Daniel Maboya, mezungumza jambo la msingi sana kuwa Corona ni ugonjwa wa ukweli haihitaji kuufanyia longolongo za uponyaji, amewataka Watanzania tusikilize maelekezo ya viongozi wetu wa serikali na maekezo ya kitaalamu na kumuomba Mungu atuepushe.

Simu zinapigwa watu wanaongea na Nabii Malisa anawafanyia unabii live on TV!. Kama hizi simu zinazopigwa sio arranged or premeditated, then huyu Nabii Malisa anatisha sana kwa jinsi anavyowafunulia hao wapiga simu kuhusu maisha yao, hadi watu wanalia!.

If you have time, please Watch
Pasaka Njema.
Pasakali
Wewe P na Malisa mnapaswa kushitakiwa maana mmedharau na kutii mamlaka za juu. Anayepaswa kutoa habari za Corona nadhani unajua ni nani. Sasa wewe na Malisa mnakosa na mbaya zaidi ww nu mwanasheria kwa kitendo chako hiki ni dharau kubwa kwa mamlaka za juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe P na Malisa mnapaswa kushitakiwa maana mmedharau na kutii mamlaka za juu. Anayepaswa kutoa habari za Corona nadhani unajua ni nani. Sasa wewe na Malisa mnakosa na mbaya zaidi ww nu mwanasheria kwa kitendo chako hiki ni dharau kubwa kwa mamlaka za juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Rufiji, kitu kinacholatazwa ni kutoa updates za ugonjwa wa Corona, kwenye bandiko hili umesikia update yoyote?.
P
 
Tumuombe Nani sasa ili kaugonjwa kapite?
Waumimi wengi wa dini hua sio wazima kichwani.

Utashangaa leo watu wameenda kanisani kumuomba mungu ambae ameshindwa kuondoa corona.

Mbaya zaidi utakuta kuna wengine wamefiwa na ndugu zao sababu ya corona na bado wanaenda kumuomba Mungu, sasa sijui wanaenda kuomba kitu gani? Unaenda kuomba kitu kisicho na msaada kwako?

Tuendelee kuomba haka kagonjwa kapite.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lilian Mwasha aibukia wasafi.....msanii mno huyu Dada Mungu hadhihakiwi.....!! Muda utaongea
Kiukweli jina nilikuwa nalisikia leo ndio nimemuona, kiukweli yuko fit sana, kuna mdada mmoja Mwasha aliyekuwa na ile 8020 blog namfahamu.
P
 
Tutahifadhi kauli zake.
Hatutaki aje kukana kauli yake.
Sayansi ilivyo....inaonyesha tatizo linaweza kupungua lakini siyo la kuisha leo.
Kikubwa tufuate ushauri wa wataalam wa Afya.
Hawa wachumia tumbo watatupotezea mwelekeo
 
Duh...

Mkuu Hakimu Mfawidhi, nguvu zinazotokea beyond human capacity/ nature huwa unafanya nini?

Hata wasioamini ktk Mungu, wanaomba msaada kule ambapo kuna supreme power.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliekudanganya kuna supreme power ni nani? Uliwahi kuiona wapi?

Hii issue ya corona na magonjwa mengine ni ishara kua hakuna supreme power, hakuna mungu wala shetani.

Cha ajabu watu wanaenda kumuomba mungu ambae hawezi kuzuia corona wala ebola, unaomba kitu kisicho na msaada kwako ili iweje?

Haya mambo ya mungu ni hadithi tu za alinacha. Naona kule italy pala mwenyewe leo ameendesha ibada kwa livestreaming, hua wanasema pale ndipo yesu/mungu aliweka mwaka au kanisa lake, je mungu amelisahau kanisa lake la mt petro? Ameshindwa kumsaidia papa muwakilishi wake hapa Duniani?

Tuendelee kuomba.
 
Tusamehe Makosa Yetu Baba Yetu [emoji24][emoji24][emoji24]
IMG_20200412_122906_766.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo naona ameenda mbali.

Yupo mmoja huku kwetu Arusha yeye baada ya kuona Nchi zinazoripoti visa zinaongezeka, kwenye tarehe za mwanzoni za mwezi march akatangaza unabii kuwa corona itaingia na Tanzania.

Kwa hivi sasa Waumini wake wanasheherekea kutimia kwa unabii huku Wasaidizi wake wakihimiza utoaji wa sadaka lukuki kama sehemu ya kupongeza unabii huo.
Ha haaaa..
Hiyo ni kama unamlisha kuku chakula kisha unatabiri huyu kuku kabla ya siku mbili kuisha atakunya tu.
 
Back
Top Bottom