Nabii Mashimo amtaja Malisa GJ kama mrithi wa Paul Makonda

Nabii Mashimo amtaja Malisa GJ kama mrithi wa Paul Makonda

Ila mashimo amekomaa hadi amefikia level ya unabii?😂.

Yaani sasa hivi nabii mashimo ni level moja na kina musa, isaya, yakobo, suleimani, Daudi, enock na manabii wengine wa kiyahudi wa zamani😂😂.

Wakristo, wayahudi na waislamu hua wanasoma maandiko ya hao manabii wa zamani, Mashimo atoe maandishi yake yasomwe kwenye makanisa na misikiti yote watu tufuate maelekezo yake nambii mkuu Mashimo😂
Hahahahahaha ukiwafikiria manabii wote wa sasa utakereka na kufurahi kwa pamoja. Mashimo ame-specialize kwenye unabii wa mechi za Simba na Yanga.
 
Malissa ana great hatred for Makonda. Unaona ndiye alikuwa wa kwanza kuripoti Makonda atapelekwa mahakamani. Kusema kwamba Malissa anataka kurithi kazi za upendo alizokuwa anafanya Makonda,kazi gani za upendo? ,Malissa anasema Makonda kapigwa marufuku na State Department asiingie Marekani.
Kwa hiyo Malissa amrithi Makonda ili apate nini,ili apigwe marufuku kwenda Amerika?
 
Back
Top Bottom