Ila mashimo amekomaa hadi amefikia level ya unabii?๐.
Yaani sasa hivi nabii mashimo ni level moja na kina musa, isaya, yakobo, suleimani, Daudi, enock na manabii wengine wa kiyahudi wa zamani๐๐.
Wakristo, wayahudi na waislamu hua wanasoma maandiko ya hao manabii wa zamani, Mashimo atoe maandishi yake yasomwe kwenye makanisa na misikiti yote watu tufuate maelekezo yake nambii mkuu Mashimo๐