Nabii mkuu Dkt. Geordavie asheherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa, watu maarufu wahudhuria

Nabii mkuu Dkt. Geordavie asheherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa, watu maarufu wahudhuria

Nabii gani anapenda kujisifu na kusifiwa kuliko Mungu? Nabii gani anaishi maisha ya anasa na ufahari kuliko waumini wake? Hawa ndio manabii wa mchongo kulaghai watu huku hatuoni matendo ya manabii wa ukweli
Umenena vyema sana mkuu.
 
Huo unabii kapewa na nani?
Nani alimuapprove kuwa ndiye nabii na kuwa mkuu wa wengine?

Ni mashuhuda gani walikuwepo ktk hilo tendo la approving ya huyo nabii ili kujihakikishia ama kushuhudia tendo hilo zito?

Kwa unabii upi haswa alioufanya unaoweza kumfanya awe na hicho cheo zaidi ya wengine(ukuu).

Ktk maandiko manabii wengi walikuwa wakipewa hizo karama chini ya mpaka mafuta ambaye anakuwa kama mtoa upako/nguvu kwa nabii mpya ikiwezekana ktk umati wa watu ama shuhuda wa hilo tendo, kama sio mashahid bas kunakuwa na dalili/tabili za ujio wa huyo nabii kabla hajazaliwa ama akizaliwa kuwa na utofauti ktk jamii[emoji23][emoji23].

Je huyo TAPELI geordavie kapewa na nani huo unabii? Acheni kudanganywa na hao wachawi na washirikina wanaotumia dini kuwadanganya.
 
Katika vitu vimenishinda kuvifanya ni kusheherekea siku ya kuzaliwa.

Sijui ni uduni wa maisha yangu au ushamba wa tangu kuzaliwa.
Isingekuwa kukumbushwa na Wife nyumbani au kupata jumbe za kampuni za simu kuniwish nisingekuwa nakumbuka hata hiyo siku yenyewe.

Heri yake ya kuzaliwa
 
Huo unabii kapewa na nani?
Nani alimuapprove kuwa ndiye nabii na kuwa mkuu wa wengine?

Ni mashuhuda gani walikuwepo ktk hilo tendo la approving ya huyo nabii ili kujihakikishia ama kushuhudia tendo hilo zito?

Kwa unabii upi haswa alioufanya unaoweza kumfanya awe na hicho cheo zaidi ya wengine(ukuu).

Ktk maandiko manabii wengi walikuwa wakipewa hizo karama chini ya mpaka mafuta ambaye anakuwa kama mtoa upako/nguvu kwa nabii mpya ikiwezekana ktk umati wa watu ama shuhuda wa hilo tendo, kama sio mashahid bas kunakuwa na dalili/tabili za ujio wa huyo nabii kabla hajazaliwa ama akizaliwa kuwa na utofauti ktk jamii[emoji23][emoji23].

Je huyo TAPELI geordavie kapewa na nani huo unabii? Acheni kudanganywa na hao wachawi na washirikina wanaotumia dini kuwadanganyai
Unaweza kunionyesha hayo maandiko
 
NATAMANI NAYE AANZE KUWAPELEKA MBINGUNI KWA MAKUNDI KAMA HUYU WA KENYA

 
Back
Top Bottom