Nabii mkuu Dkt. Geordavie asheherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa, watu maarufu wahudhuria

Nabii mkuu Dkt. Geordavie asheherekea kumbukizi yake ya kuzaliwa, watu maarufu wahudhuria

George David Malembeka aliishi muda mwingi maisha ya dhiki kwenye vibanda vya manamba Burka Estate, Ngaramtoni ya Chini Arusha sasa anafurahia utajiri usiojulikana umetokea wapi🙄
Unaumia?😂😂😂😂
 
20230423_155613-1024x890.jpg
20230423_155539-1024x940.jpg


Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni kutoka nchi mbali mbali kutoka nchini Congo, South Africa, Kenya na maeneo mbali mbali ya pembezoni ya dunia walikuwepo katika siku hii muhimu kwa Nabii Mkuu.

Awali akizungumzia siku hiyo muhimu kwake Mh Nabii Geordavie Mkuu amesema kwamba siku hiyo ilikuwa ifanyike tarehe 25 mwezi April lakini kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya kazi na sio siku ya huduma, hivyo kupelekea kufanyika siku ya juma pili ya tarehe 23 kwa lengo la wana Ngurumo kupata fursa ya kusherekea pamoja na Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie .

Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amesema wakati anakumbuka siku yake ya kuzaliwa anashukuru Mungu amefanikiwa kusaidia jamii katika kutoa misaada mbali mbali ikiwemo mitaji kwa vijana wanawake wazee na rika mbali mbali ambapo mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 amesha tumia kiasi cha shilingi Milioni 400 kugusa jamii katika kutoa mitaji kugawa piki piki bajaji vifaa vya studio kwa wasanii , mitaji kwa wafanya biashara wa soko la Samunge jijini Arusha na wengine wengi kutoka mikoani pamoja na nje ya nchi ambapo Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amegusa jamii kwa mahitaji muhimu .
20230423_184424-1024x461.jpg
20230423_184435-1024x461.jpg
View attachment 2597991
Boss Daddy.

Mweh
 
20230423_155613-1024x890.jpg
20230423_155539-1024x940.jpg


Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni kutoka nchi mbali mbali kutoka nchini Congo, South Africa, Kenya na maeneo mbali mbali ya pembezoni ya dunia walikuwepo katika siku hii muhimu kwa Nabii Mkuu.

Awali akizungumzia siku hiyo muhimu kwake Mh Nabii Geordavie Mkuu amesema kwamba siku hiyo ilikuwa ifanyike tarehe 25 mwezi April lakini kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya kazi na sio siku ya huduma, hivyo kupelekea kufanyika siku ya juma pili ya tarehe 23 kwa lengo la wana Ngurumo kupata fursa ya kusherekea pamoja na Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie .

Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amesema wakati anakumbuka siku yake ya kuzaliwa anashukuru Mungu amefanikiwa kusaidia jamii katika kutoa misaada mbali mbali ikiwemo mitaji kwa vijana wanawake wazee na rika mbali mbali ambapo mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 amesha tumia kiasi cha shilingi Milioni 400 kugusa jamii katika kutoa mitaji kugawa piki piki bajaji vifaa vya studio kwa wasanii , mitaji kwa wafanya biashara wa soko la Samunge jijini Arusha na wengine wengi kutoka mikoani pamoja na nje ya nchi ambapo Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amegusa jamii kwa mahitaji muhimu .
20230423_184424-1024x461.jpg
20230423_184435-1024x461.jpg
View attachment 2597991
Ngoja na yeye aanzishe ibada ya njaa kama huko kenya 🤣
 
Muache utani, nabii gani ana security tight kama ile, anamhofu nani kiasi cha kupanda madhabahuni na wapambe pande zote? Semeni tu yule ni mjanjamjanja fulani hivi, inatosha
 
Tatizo unaiangalia mambo kwa dimesion ndogo. Kwa hivyo mchezaji mpira akivuta bangi, utasema wachezaji mpira wote ni wavuta bangi. Usiutukane ulokole kisa wahuni wachache wanao tumika ili kuharibu sifa ya upentekoste.
Walokole ni wapuuzi sana tena hawana akili kbs. Utaamini vipi maji ambayo TBS wameyapitisha ndio yanatibu magonjwa. kwanini asitibu bila TBS. Walokole ni mapunguani sana, toka kama upo huko.
 
Bora hata huyu anagusa jamii directly kulikoni wale wanaochuma na kujinufaisha.Happy belated birthday [emoji512] to G.Davie.
 
Nabii gani anapenda kujisifu na kusifiwa kuliko Mungu? Nabii gani anaishi maisha ya anasa na ufahari kuliko waumini wake? Hawa ndio manabii wa mchongo kulaghai watu huku hatuoni matendo ya manabii wa ukweli
Sio nabii tu, eti anajiita Nabii mkuu, ametoa wapi mamlaka haya.
 
Sio nabii tu, eti anajiita Nabii mkuu, ametoa wapi mamlaka haya.
anaji proud mpaka wengine tunashituka. Kajiongezea title nyingi kuzitaja zote kwa pamoja ni shughuli pevu. Anajiita mheshimiwa, mtume na nabii dr. ..... Kituko kingine waumini wake wameweka picha yake mithili ya ile ya rais majumbani wao. Na yeye ana redio yake ya kujitukuzia kuliko Mungu.
 
20230423_155613-1024x890.jpg
20230423_155539-1024x940.jpg


Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni kutoka nchi mbali mbali kutoka nchini Congo, South Africa, Kenya na maeneo mbali mbali ya pembezoni ya dunia walikuwepo katika siku hii muhimu kwa Nabii Mkuu.

Awali akizungumzia siku hiyo muhimu kwake Mh Nabii Geordavie Mkuu amesema kwamba siku hiyo ilikuwa ifanyike tarehe 25 mwezi April lakini kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya kazi na sio siku ya huduma, hivyo kupelekea kufanyika siku ya juma pili ya tarehe 23 kwa lengo la wana Ngurumo kupata fursa ya kusherekea pamoja na Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie .

Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amesema wakati anakumbuka siku yake ya kuzaliwa anashukuru Mungu amefanikiwa kusaidia jamii katika kutoa misaada mbali mbali ikiwemo mitaji kwa vijana wanawake wazee na rika mbali mbali ambapo mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 amesha tumia kiasi cha shilingi Milioni 400 kugusa jamii katika kutoa mitaji kugawa piki piki bajaji vifaa vya studio kwa wasanii , mitaji kwa wafanya biashara wa soko la Samunge jijini Arusha na wengine wengi kutoka mikoani pamoja na nje ya nchi ambapo Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amegusa jamii kwa mahitaji muhimu .
20230423_184424-1024x461.jpg
20230423_184435-1024x461.jpg
View attachment 2597991
Mungu ambariki sana Nabii; ujumbe wangu kwake ni kwamba naomba aendelee kuusilkiliza huu wimbo hapa chini

 
Back
Top Bottom