Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mkuu hebu tengeneza ka clip cha kumsifia uitwe ukapokee mkwanja...niko tayari kukusindikiza😅😅😅HBD na long live Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie.
p
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hebu tengeneza ka clip cha kumsifia uitwe ukapokee mkwanja...niko tayari kukusindikiza😅😅😅HBD na long live Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie.
p
Ukipata upenyo piga pesa sanaaSaaafi sana Nabii Mkuu piga pesa
Ok,asanteKama si iguguno , itakuwa maneromango au ubena pwani baba yake alifanya kazi huko.
[emoji3]Wamenichekesha. Eti boss daddy.
Unaumia?😂😂😂😂George David Malembeka aliishi muda mwingi maisha ya dhiki kwenye vibanda vya manamba Burka Estate, Ngaramtoni ya Chini Arusha sasa anafurahia utajiri usiojulikana umetokea wapi🙄
Boss Daddy.![]()
![]()
Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni kutoka nchi mbali mbali kutoka nchini Congo, South Africa, Kenya na maeneo mbali mbali ya pembezoni ya dunia walikuwepo katika siku hii muhimu kwa Nabii Mkuu.
Awali akizungumzia siku hiyo muhimu kwake Mh Nabii Geordavie Mkuu amesema kwamba siku hiyo ilikuwa ifanyike tarehe 25 mwezi April lakini kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya kazi na sio siku ya huduma, hivyo kupelekea kufanyika siku ya juma pili ya tarehe 23 kwa lengo la wana Ngurumo kupata fursa ya kusherekea pamoja na Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie .
Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amesema wakati anakumbuka siku yake ya kuzaliwa anashukuru Mungu amefanikiwa kusaidia jamii katika kutoa misaada mbali mbali ikiwemo mitaji kwa vijana wanawake wazee na rika mbali mbali ambapo mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 amesha tumia kiasi cha shilingi Milioni 400 kugusa jamii katika kutoa mitaji kugawa piki piki bajaji vifaa vya studio kwa wasanii , mitaji kwa wafanya biashara wa soko la Samunge jijini Arusha na wengine wengi kutoka mikoani pamoja na nje ya nchi ambapo Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amegusa jamii kwa mahitaji muhimu .
View attachment 2597991![]()
Huyo ndo mkewe?
Ngoja na yeye aanzishe ibada ya njaa kama huko kenya 🤣![]()
![]()
Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni kutoka nchi mbali mbali kutoka nchini Congo, South Africa, Kenya na maeneo mbali mbali ya pembezoni ya dunia walikuwepo katika siku hii muhimu kwa Nabii Mkuu.
Awali akizungumzia siku hiyo muhimu kwake Mh Nabii Geordavie Mkuu amesema kwamba siku hiyo ilikuwa ifanyike tarehe 25 mwezi April lakini kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya kazi na sio siku ya huduma, hivyo kupelekea kufanyika siku ya juma pili ya tarehe 23 kwa lengo la wana Ngurumo kupata fursa ya kusherekea pamoja na Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie .
Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amesema wakati anakumbuka siku yake ya kuzaliwa anashukuru Mungu amefanikiwa kusaidia jamii katika kutoa misaada mbali mbali ikiwemo mitaji kwa vijana wanawake wazee na rika mbali mbali ambapo mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 amesha tumia kiasi cha shilingi Milioni 400 kugusa jamii katika kutoa mitaji kugawa piki piki bajaji vifaa vya studio kwa wasanii , mitaji kwa wafanya biashara wa soko la Samunge jijini Arusha na wengine wengi kutoka mikoani pamoja na nje ya nchi ambapo Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amegusa jamii kwa mahitaji muhimu .
View attachment 2597991![]()
Mtaelewa tuu 🤣🤣🙌Duh! Nabii Mkuu Mh Dr. Huku kujikweza si mchezo.
Walokole ni wapuuzi sana tena hawana akili kbs. Utaamini vipi maji ambayo TBS wameyapitisha ndio yanatibu magonjwa. kwanini asitibu bila TBS. Walokole ni mapunguani sana, toka kama upo huko.Tatizo unaiangalia mambo kwa dimesion ndogo. Kwa hivyo mchezaji mpira akivuta bangi, utasema wachezaji mpira wote ni wavuta bangi. Usiutukane ulokole kisa wahuni wachache wanao tumika ili kuharibu sifa ya upentekoste.
Sio nabii tu, eti anajiita Nabii mkuu, ametoa wapi mamlaka haya.Nabii gani anapenda kujisifu na kusifiwa kuliko Mungu? Nabii gani anaishi maisha ya anasa na ufahari kuliko waumini wake? Hawa ndio manabii wa mchongo kulaghai watu huku hatuoni matendo ya manabii wa ukweli
anaji proud mpaka wengine tunashituka. Kajiongezea title nyingi kuzitaja zote kwa pamoja ni shughuli pevu. Anajiita mheshimiwa, mtume na nabii dr. ..... Kituko kingine waumini wake wameweka picha yake mithili ya ile ya rais majumbani wao. Na yeye ana redio yake ya kujitukuzia kuliko Mungu.Sio nabii tu, eti anajiita Nabii mkuu, ametoa wapi mamlaka haya.
Mungu ambariki sana Nabii; ujumbe wangu kwake ni kwamba naomba aendelee kuusilkiliza huu wimbo hapa chini![]()
![]()
Tarehe 25 Mwezi April ni kumbukizi ya Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie kukumbuka siku yake ya kuzaliwa ambapo Maelfu ya waumini wa huduma ya Ngurumo ya Upako walisherekea kwa pamoja huku wageni kutoka nchi mbali mbali kutoka nchini Congo, South Africa, Kenya na maeneo mbali mbali ya pembezoni ya dunia walikuwepo katika siku hii muhimu kwa Nabii Mkuu.
Awali akizungumzia siku hiyo muhimu kwake Mh Nabii Geordavie Mkuu amesema kwamba siku hiyo ilikuwa ifanyike tarehe 25 mwezi April lakini kutokana na siku hiyo kuangukia siku ya kazi na sio siku ya huduma, hivyo kupelekea kufanyika siku ya juma pili ya tarehe 23 kwa lengo la wana Ngurumo kupata fursa ya kusherekea pamoja na Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie .
Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amesema wakati anakumbuka siku yake ya kuzaliwa anashukuru Mungu amefanikiwa kusaidia jamii katika kutoa misaada mbali mbali ikiwemo mitaji kwa vijana wanawake wazee na rika mbali mbali ambapo mpaka kufikia mwaka huu wa 2023 amesha tumia kiasi cha shilingi Milioni 400 kugusa jamii katika kutoa mitaji kugawa piki piki bajaji vifaa vya studio kwa wasanii , mitaji kwa wafanya biashara wa soko la Samunge jijini Arusha na wengine wengi kutoka mikoani pamoja na nje ya nchi ambapo Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie amegusa jamii kwa mahitaji muhimu .
View attachment 2597991![]()
pumbavu, mwenzako alikula za uso nikajua ni wewe kumbe ni member mpya mwenye id mfanano na yakoThanks,
Itakua umefanya vizuri sana.