Angesema hivyo kuhusu upinzani angeambiwa anachanganya dini na siasa na kufutiwa usajili kanisa lakeHuyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
1.5?
Huyu jamaa ana kashfa nyingi hivyo hana credibility ya kuaminika na hata huo unabii alijipa mwenyewe
Huyu nabii wakina yezebeliHuyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Unasema!? Hebu paza sauti tulisikie vizuri hilo. Hizo sio habari za kukaa nazo kwenye makabrasha, watu wazifahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hachukui sadaka, fungu la kumi na hela za maombezi binafsi na hayo mawe yake? Hayo makusanyo ndo tonge lenyewe na ndiyo chanzo cha hayo mawe yake. Aache kuyakusanya kwa mwaka 1 tuone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ana kashfa nyingi hivyo hana credibility ya kuaminika na hata huo unabii alijipa mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tuache ushabiki wa vyama hili la kura tumpe Magufuli limetoka wapi? USITUPANGIE.Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Huyo anawa brainwash waumini, ana mungu wake anaitwa mungu geodavid, redio yake masaa yote ni kutangaza mpesa wafungue mikono ya nabiiHuyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780
Huyo anawa brainwash waumini, ana mungu wake anaitwa mungu geodavid, redio yake masaa yote ni kutangaza mpesa wafungue mikono ya nabii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama tuache ushabiki wa vyama hili la kura tumpe Magufuli limetoka wapi? USITUPANGIE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angesema hivyo kuhusu upinzani angeambiwa anachanganya dini na siasa na kufutiwa usajili kanisa lake
Haya maelezo angetoa shekhe mngesema kachanganya siasa na dini ila kasema mbuzi katoliki mwenzenu...mmevaa miwani ya mbao walichofanya sahv mashekhe siasa tumewachia nyny..mnazingua tu mara waraka wa pasaka hujakaa sawa mara sijui TEC sijui mnawashwa na nini?Huyu nambii mkuu wa manabii wote Tanzania askofu ,his excellence Joe Davie amewaasa wanaarusha na watanzania kwa ujumla kuangalia mazuri ya mh John Magufuli kama rais bora madhabahuni
Nabii huyu mwenye wafuasi wengi ndani na nje ya nchi akiwa katika madhabahu takatifu amewaasa watu kuangalia nini amefanya JPM kama kiongozi bora kwa kipindi hiki
Madhabahu imetamka nani apinge
USSR
View attachment 1403780