Nabii Mkuu, Geor Davie wa Arusha tafadhali Sana mtumishi

Nabii Mkuu, Geor Davie wa Arusha tafadhali Sana mtumishi

Mcheki msaniimmoja anaitwa mkali wenu Ana namba zake
 
Sasa mimi mwanaume na ndevu zangu eti...sijui baba nabii mkuu, wewe ndio kiboko yao....hakuna kama wewe na blablaa kibaa aaagh siiwezi milele🤣🤣😆🤣
Ha haa itakuwa bonge ya collabo acha hizo bana, tufanye
 


Kwani si bora ungesema mapema hoja kabla ya hoja hii,? Wewe ukaanza Krush watu kabla ya suruhu, Mtumishi wa Mungu si ni watu wote ? Ndio ziko taratibu za kila ofisi ila sio katika mazingira mtu anakuja nayo hapa.

Mara Mie ndo katibu, Mara pesa za msahada zimeisha, je mwajua mawazo ni zahidi ya pesa , ndio Sina pesa Kama mtumishi , ila uwezo kuishi KWa maisha ya kawaida upon, acheni hii, kwamba kila anaemtafuta mtumishi basi anataka apate pesa ,aliewambia ana kisima Cha pesa nani ? Acheni Mambo haya
Mmmmh, mkuu mbona unaongea kama una stress fulani hivi? Kwani mimi ni wapi nimekwambia unataka pesa kwa mtumishi?
 
Back
Top Bottom