Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why ni mcheck yeye , kwamba mpaka nakuja hapa , why sikutafuta njia mbadalaMcheki msaniimmoja anaitwa mkali wenu Ana namba zake
Sasa mbona una hasira? Tatizo nini?Why ni mcheck yeye , kwamba mpaka nakuja hapa , why sikutafuta njia mbadala
Ha haa itakuwa bonge ya collabo acha hizo bana, tufanyeSasa mimi mwanaume na ndevu zangu eti...sijui baba nabii mkuu, wewe ndio kiboko yao....hakuna kama wewe na blablaa kibaa aaagh siiwezi milele🤣🤣😆🤣
Naona alikuja kwa lengo mahsusiMbona jamaa ana hasira tatizo nini?
Anataja jina la mtu mzito chukuchuku. Kosa kubwa 😂😂😂Ulikuwa na maana gani kurukia cheo mwandamizi Dr Mheshimiwa sana!.
Mmmmh, mkuu mbona unaongea kama una stress fulani hivi? Kwani mimi ni wapi nimekwambia unataka pesa kwa mtumishi?
Kwani si bora ungesema mapema hoja kabla ya hoja hii,? Wewe ukaanza Krush watu kabla ya suruhu, Mtumishi wa Mungu si ni watu wote ? Ndio ziko taratibu za kila ofisi ila sio katika mazingira mtu anakuja nayo hapa.
Mara Mie ndo katibu, Mara pesa za msahada zimeisha, je mwajua mawazo ni zahidi ya pesa , ndio Sina pesa Kama mtumishi , ila uwezo kuishi KWa maisha ya kawaida upon, acheni hii, kwamba kila anaemtafuta mtumishi basi anataka apate pesa ,aliewambia ana kisima Cha pesa nani ? Acheni Mambo haya