Nabii Mkuu, Geor Davie wa Arusha tafadhali Sana mtumishi

Mcheki msaniimmoja anaitwa mkali wenu Ana namba zake
 
Sasa mimi mwanaume na ndevu zangu eti...sijui baba nabii mkuu, wewe ndio kiboko yao....hakuna kama wewe na blablaa kibaa aaagh siiwezi milele🤣🤣😆🤣
Ha haa itakuwa bonge ya collabo acha hizo bana, tufanye
 
Mmmmh, mkuu mbona unaongea kama una stress fulani hivi? Kwani mimi ni wapi nimekwambia unataka pesa kwa mtumishi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…