VIongozi wa Dini wanatakiwa kuwa mfano kwa uvumlivu na utii wa sheria maana maandiko yana sisitiza kutii mamlaka.
Marekebisho, sio anayejiita bali ni Mtume na Nabii J.E. Mwingira. Ask God about this man.
Kuvamia. Hakuna uvamizi wowote bali lile eneo lote ni la Huduma la Efatha (Efatha Ministry). Mikataba ya kulinunua ipo na ilioneshwa kwenye vyombo vya habari. Ni eneo la Huduma hivyo ni maamuzi ya huduma kufanya chochote wakati wowote. Hakuna mwislamu yeyote mwenye hati ya kile kiwanja. Simple question hivi walivyo na kelele wangekuwa na evidence mkononi kunge kalika DSM?
Kuchoma moto.
Hapana hakuna moto uliochomwa bali ni usafi na kuweka tayari eneo kwa ajili ya upanuzi wa kanisa ili injili isonge mbele. Pia jambo hili halikufanywa usiku bali ni mchana kweupe siku ya Christmass pamefanyiwa usafi hata sasa vijana wanaendelea na usafi unaweza kwenda kuwaona ukitaka.
Naona tu ni jitihada tu za shetani za kutafuta namna ya kujiinua against the power of Gospel. Hakuna aliye jaribu kuzuia injili akashinda hata sikumoja wapi gadafi, wapi sadam wapi id amin na wengine wanafuata. Study history it will tell you. Ushauri...usiongelee au kuchangia jambo ambalo hulijui au huna uhakika nalo kwa sababu biblia inasema mwanadamu atakula matunda ya kinywa chake pia inasema mauti na uzima vi katika kinywa cha mtu. Hakuna neno ambalo mtu atasema likakosa baraka au laana kwa mtu huyo. Period
There is tendence that most people judge other people basing on perception of other people, This is really bad kwani imeandikwa usihukumu, maana ni kwa kipimo kilekile utakachotumia kitatumika kwako. Mfano hapa watu kufanya usafi kwenye eneo lao ni issue. Kumbuka kwamba ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu.
Yaani watu kama hawa wanalishwa sumu sana na 'manabii' kiasi kwamba hawaambiliki chochote. Kuna m1 tunafanya nae kazi. Yaani hata haambiliki hata pale penye kuhitaji macho 2 kupambanua atabisha. So sikushangai mkuu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Marekebisho, sio anayejiita bali ni Mtume na Nabii J.E. Mwingira. Ask God about this man.
Kuvamia. Hakuna uvamizi wowote bali lile eneo lote ni la Huduma la Efatha (Efatha Ministry). Mikataba ya kulinunua ipo na ilioneshwa kwenye vyombo vya habari. Ni eneo la Huduma hivyo ni maamuzi ya huduma kufanya chochote wakati wowote. Hakuna mwislamu yeyote mwenye hati ya kile kiwanja. Simple question hivi walivyo na kelele wangekuwa na evidence mkononi kunge kalika DSM?
Kuchoma moto.
Hapana hakuna moto uliochomwa bali ni usafi na kuweka tayari eneo kwa ajili ya upanuzi wa kanisa ili injili isonge mbele. Pia jambo hili halikufanywa usiku bali ni mchana kweupe siku ya Christmass pamefanyiwa usafi hata sasa vijana wanaendelea na usafi unaweza kwenda kuwaona ukitaka.
Naona tu ni jitihada tu za shetani za kutafuta namna ya kujiinua against the power of Gospel. Hakuna aliye jaribu kuzuia injili akashinda hata sikumoja wapi gadafi, wapi sadam wapi id amin na wengine wanafuata. Study history it will tell you. Ushauri...usiongelee au kuchangia jambo ambalo hulijui au huna uhakika nalo kwa sababu biblia inasema mwanadamu atakula matunda ya kinywa chake pia inasema mauti na uzima vi katika kinywa cha mtu. Hakuna neno ambalo mtu atasema likakosa baraka au laana kwa mtu huyo. Period
There is tendence that most people judge other people basing on perception of other people, This is really bad kwani imeandikwa usihukumu, maana ni kwa kipimo kilekile utakachotumia kitatumika kwako. Mfano hapa watu kufanya usafi kwenye eneo lao ni issue. Kumbuka kwamba ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu.
Tatizo la Waumini wa Mwingira wanataka kujifanya hawajui lugha ya Taifa !!!I see... You don't know what i knw, you don't feel what i feel and you dont understand what i understand for his ways/Thoughts (God) are not your ways/thougths, his ways/thoughts are too high far above from principalities and powers for human mind to comprehend and apprehend. These things come by grace that's why you do not understand them. Not everyone will receive salvation it is by the grace of God.
I see... You don't know what i knw, you don't feel what i feel and you dont understand what i understand for his ways/Thoughts (God) are not your ways/thougths, his ways/thoughts are too high far above from principalities and powers for human mind to comprehend and apprehend. These things come by grace that's why you do not understand them. Not everyone will receive salvation it is by the grace of God.
Umetoa utetezi Mzuri na unaonekana nu Muumini wa Efatha!!!
Usiwafanye watu kuwa hawana akili!!!
Kuna kesi Mahakamani ambapo Mwingira na Watu wake wamesha hojiwa kwa kosa la Kudharau Mahakama!!!
Kama hilo ni eneo la Efatha kwa nini Wavamie Usiku??
Mikataba ya umiliki wa eneo Mwingira anapaswa kuipeleka mahakani ili apate haki yake na sio kwenye Vyombo vya habari???
Suala la Kubaka Mke Wa Mbuya lilikuwa hivi hivi na bado anajiita Nabii?? Ni Nabii gani Mbakaji??
Hatuna haja na mali zake kwa kuwa wapo matajiri wengi wanafanya zinaa huku wanafanya biashara!!
Tatizo la Waumini wa Mwingira wanataka kujifanya hawajui lugha ya Taifa !!!
Wewe unajibu kwa lugha ya kigeni wakati swali ni kwa lugha ya kiswahili??
kwahiyo gadaf na sadam walikufa kwa ajili ya kuzuia injili?.
NYIE WAKRISTO HAMFAGI?.
Umeanza kwa maelezo mazuri unamaliza vibaya ,acha udini mwigira.
Umepeleka fungu la kumi? Mwisho wa mwezi huu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Anayejiita Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja Kiwanda Cha Zain Shaarifu Mwenge baada ya Kukivamia na kuchoma moto katika tukio la kwanza lililofanyika siku ya jumatatu ya pasaka Mwaka huu.
Kamanda Kenyera alitoa agizo kuwa Kiwanda hicho kisivunje tena mpaka Shauli lililo mahakamani lisikilizwe .
Ni jambo ajabu Nabii Mwingira amedharau Mahakama na vyombo vya dola kwa kisingizio kuwa anasikiliza miungu yake!!
Tuesday, January 31, 2012
MTUME NA NABII MWINGIRA ATIWA MBARONI DAR
KIONGOZI wa Kanisa la Efatha, Nabii na Mtume Josephat Mwingira amekamatwa na polisi katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, Dar es Salaam, akituhumiwa kuharibu mali za mfanyabiashara, Zain Sharifu.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi, Kinondoni, ACP Charles Kenyela, Mwingira alikamatwa wiki iliyopita na kushikiliwa kituoni hapo.
Hata hivyo, Kenyela alisema, Mwingira alidhamiwa baada ya kuhojiwa kuhusiana na tuhuma za kuvunja na kuharibu mali ndani ya Kiwanda cha Uchapaji cha Afroplus kinachomilikiwa na mlalamikaji.
"Tumemkamata kiongozi huyo ili atoe ufafanuzi wa kina baada ya kupokea malalamiko hayo, " alisema Kenyela alipozungumza na mwandishi wetu wiki iliyopita ofisini kwake.
Kenyela alisema, mashtaka hayo yalifikishwa polisi na Zain, Januari 8, mwaka huu, akidai kwamba walinzi binafsi wa kiongozi huyo wa kanisa, walivamia kiwandani kwake na kuharibu mali baada ya kufanya fujo.
Aliongeza kuwa polisi baada ya kupata taarifa hizo, walikwenda eneo la tukio kushuhudia na kukuta mali zilizoharibiwa, hivyo walimtaka Mwingira kufika polisi ili atoe ufafanuzi lakini alikaidi ndipo polisi ikatumia nguvu kumkamata.
"Alipoulizwa Mwingira kuhusu madai hayo alijitetea uwa eneo hilo ni mali halali ya Efatha tangu Juni 17, 2005, baada ya kulinunua kutoka kwa mtu mmoja aliyemtaja kwa jina la Mangula, hivyo anasubiri tamko la Mahakama ya Ardhi Tanzania ambako shitaka limepelekwa," alisema.
Baada ya Mwingira kuhojiwa kituoni hapo, Kenyela aliwakutanisha na Zain ambaye ni mlalamikaji na kuwataka wasiendelee kugombana, badala yake wasubiri uamuzi wa mahakama kuhusu kesi hiyo.
Kamanda Kenyela alifafanua kuwa mwanamke aliyemshitaki Mwingira ni mmoja wa wamiliki 11 wa viwanda vilivyokuwa ndani ya Kitalu namba 90, Mwenge, Dar es Salaam.
Awali, Mwingira alisema, aliwataka wamiliki wa viwanda hivyo kuhama ili kupisha upanuzi wa kanisa na viwanda 10 vilitekeleza ombo hilo.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa makampuni 10 ambayo yalitakiwa kuhama na Mwingira na kutekeleza ni Metal Works, Timber Malt Tech, Auto Ran Makongo, Container Global, Simon Engineering, Safe Man, Profession Investigation, Elbe Ltd, Zana za Kilimo Mbeya na Kilimanjaro Machine Tools Ltd.
Januari 17 mwaka huu, katika toleo lake namba 721 gazeti hili liliripoti kusakwa kwa Mwingira na askari 20 waliofika kanisani kwake kwa lengo la kumkamata.
Askari hao waliokuwa katika magari mawili aina ya Land Rover ‘Difenda' walifika kanisani kwa Mwingira baada ya kupata taarifa za kutokea kwa fujo kati ya wafuasi wa kanisa na wafanyakazi wa viwanda cha Afroplus kinachopakana na kanisa hilo, Mwenge, Dar lakini walimkosa.
Kamanda Kenyela alisema alimtuma mkuu wa polisi wa wilaya (OCD) kumpelekea Mwingira barua ya wito ili afike ofisini kwake na kutoa onyo kwamba kama akikaidi, wao polisi wasilaumiwe.
Baadhi ya wananchi waliokuwa katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay baada ya kumuona Mwingira walisema ni kitendo cha aibu kwa viongozi wa makanisa ya kiroho kufikishwa polisi.
"Siyo Mwingira tu, tumekuwa tukiona viongozi wengi wa makanisa ya kiroho wakifikishana polisi na watu au wao kwa wao, ningeshauri haya mambo wayamalize kwa kuelewana uraiani. Wana uwezo wa kuombea matatizo, hilo linawashinda nini? Zamani ilikuwa ni mwiko kuona kiongozi wa dini akifika polisi kulalamika au kulalamikiwa," alisema mama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Frida Gabriel aliyedai kuwa ni mlokole.
Hilo halihusiani. Unajuaje kama padri alikuwa anachukua mke wa mtu? Msiwe wepesi wa kuingiza udini kwenye issue ambayo hujapata ushahidi
Na kuanzia 2013 tutahakikisha mnakula akabenzi kila sehemu mtakapokuwa hata kwenye mahotel tutawaandikia nyama ya swaala mjue sisi ni nani jamani unampiga mwenzio risasi kisa analaani majini yaliokuzunguka kweliiiiiiiii kweliiiiiiiiiiiiiiii embu nipige mimi muone
Marekebisho, sio anayejiita bali ni Mtume na Nabii J.E. Mwingira. Ask God about this man.
Kuvamia. Hakuna uvamizi wowote bali lile eneo lote ni la Huduma la Efatha (Efatha Ministry). Mikataba ya kulinunua ipo na ilioneshwa kwenye vyombo vya habari. Ni eneo la Huduma hivyo ni maamuzi ya huduma kufanya chochote wakati wowote. Hakuna mwislamu yeyote mwenye hati ya kile kiwanja. Simple question hivi walivyo na kelele wangekuwa na evidence mkononi kunge kalika DSM?
Kuchoma moto.
Hapana hakuna moto uliochomwa bali ni usafi na kuweka tayari eneo kwa ajili ya upanuzi wa kanisa ili injili isonge mbele. Pia jambo hili halikufanywa usiku bali ni mchana kweupe siku ya Christmass pamefanyiwa usafi hata sasa vijana wanaendelea na usafi unaweza kwenda kuwaona ukitaka.
Naona tu ni jitihada tu za shetani za kutafuta namna ya kujiinua against the power of Gospel. Hakuna aliye jaribu kuzuia injili akashinda hata sikumoja wapi gadafi, wapi sadam wapi id amin na wengine wanafuata. Study history it will tell you. Ushauri...usiongelee au kuchangia jambo ambalo hulijui au huna uhakika nalo kwa sababu biblia inasema mwanadamu atakula matunda ya kinywa chake pia inasema mauti na uzima vi katika kinywa cha mtu. Hakuna neno ambalo mtu atasema likakosa baraka au laana kwa mtu huyo. Period
There is tendence that most people judge other people basing on perception of other people, This is really bad kwani imeandikwa usihukumu, maana ni kwa kipimo kilekile utakachotumia kitatumika kwako. Mfano hapa watu kufanya usafi kwenye eneo lao ni issue. Kumbuka kwamba ufalme wa Mungu unatekwa na wenye nguvu.
I see... You don't know what i knw, you don't feel what i feel and you dont understand what i understand for his ways/Thoughts (God) are not your ways/thougths, his ways/thoughts are too high far above from principalities and powers for human mind to comprehend and apprehend. These things come by grace that's why you do not understand them. Not everyone will receive salvation it is by the grace of God.