shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 564
kwahiyo gadaf na sadam walikufa kwa ajili ya kuzuia injili?.
NYIE WAKRISTO HAMFAGI?.
Umeanza kwa maelezo mazuri unamaliza vibaya ,acha udini mwigira.
Shida si kufa, shida ni ulikufaje. Kufa wote tunakufa lakini sidhani kama ungependa kifo alichokufa Gadaffi au Saddam Hussein.