kwahiyo gadaf na sadam walikufa kwa ajili ya kuzuia injili?.
NYIE WAKRISTO HAMFAGI?.
Umeanza kwa maelezo mazuri unamaliza vibaya ,acha udini mwigira.
I said whether it is true or not I don't know and I don't need to know all that. Peleka mahakamani ndio ushahidi unahusika.
Ushahidi kaa nao wewe, sihitaji kuuona (keep it for yourself). Ni hivi Mwingira ni Baba yangu wa Kiroho. Siwezi kukaa kimya mtu anapo mdhalilisha. ni tabia ya shetani kudhalilisha watu.
Pia hii ni nje ya mada kabisa.Mungu akusaidie. Faham tu kuwa Yesu ni Bwana na anahitaji wewe na wengine wampokee kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yao He is just by the gate. haangalii ya nyuma bali yale unayoyaendea. God is interested in your future.
kwahiyo baada ya kuchunguza ukaona mwigira ni nabii wa ukweli?.
Yesu alisema,'wengi watakuja kwa jina langu wakihubiri na kufanya miujiza mingi.....watatoa mapepo,wataponya etc.
Hao manabii yesu anadai kuwa atawakataa.
'wengi watakuja kwa jina langu wakisema mimi NDIYE KRISTO.''
Sasa wewe najua ni mkiristo na una bible tafuta hizo aya afu urudi utuambie alikua anamaanisha nini kusema WATAKUJA KWA JINA LAKE,WATAHUBIRI NA KUFANYA MIUJIZA MINGI NA WATASEMA YESU NDIYE KRISTO.
Shida si kufa, shida ni ulikufaje. Kufa wote tunakufa lakini sidhani kama ungependa kifo alichokufa Gadaffi au Saddam Hussein.
Imeandikwa sio kila asemaye Bwana Bwana... atauona ufalme wa Mungu. pia imeandikwa patakuwepo na manabii wa uongo...muwachunguze. utamchunguza vipi nabii au mtumishi wa Mungu. Kwa akili na kusilikiliza watu wanaseman nini hutakaa uweze. ni kwa kuomba Mungu akuonyeshe na mungu ni mwaminifu atakuonyesha na yeyote atakaye hitaji atamfunulia.
Hiyo unayosema wewe ya kwamba Yesu ni Kristo imeandikwa wapi? tatizo wakristo wengi ni wavivu wa kusoma biblia kuna muda wa kupoteza lakini sio kufanya jitihada za kumtafuta Mungu. mambo ya Mungu yako very clear huhitaji mtu akuambie ila Mungu ndiye asemaye yote kwa watu wake. Wapo wanaoamini Mungu haongei aliongeaga zamani tu. He is real he can answer all questions. Badala ya kusikia sikia hebu tumia muda wako mtafute Mungu ajifunue kwako. Mungu akusaidie...
kwahiyo kama ni babako kiroho ndo awe anabaka wake za watu ovyo alafu watu wakae kimya eeeh?
Kumjua mtumishi wa mungu ni ufahamu. Sio kila mtu anaweza akamjua mtumishi sahihi wa Mungu. unahitaji kusoma Biblia kikamilifu upate picha. Kasome vizuri wewe ndio uje kwangu things are very clear.
naona unatuchanganya tu,wewe unamwani mwingira,yesu au mungu?.
Afu clarify lini gadaf alipiga vita injili,au sadamu au hata id amin, au unataka kusema mtu akigombana na wamarekani anakua kapiga vita injili?
kufa ni kufa tu,uugue na kufa ,umekufa.upigwe mabomu na gaidi au ndege za marekani,umekufa.usulubiwe msalabani,upigwe risasi,uchinjwe,etc.kufa ni kufa hakuna fomula ya kufa.
sasa si utuwekee wazi huo ufahamu wenyewe kwani tatizo liko wapi?.
Naona kama unacheza tu na maneno,wewe tuambie TUTAWATAMBUAJE,bible nishasoma sana na nikaelewa nilivyoelewa mimi kama mimi.sasa anapotokea mtu ananiambia eti sijaelewa yeye ndo anaelewa,WHAT?!!
Aliyekwambia huyo Mfilisti unayebishana naye ni Mkristo ni nani?
Kama kuna Mkristo anaamini kuwa Yesu si Kristo huyo ni mkristo? Endelea kumuomba Mungu wako kwa bidii ili akufungue upate kuwafahamu Wapinga Kristo kwa haraka kabla hawajakupotezea muda kwa utumishi wao kwa shetani aishiye Makka.
sasa si utuwekee wazi huo ufahamu wenyewe kwani tatizo liko wapi?.
Naona kama unacheza tu na maneno,wewe tuambie TUTAWATAMBUAJE,bible nishasoma sana na nikaelewa nilivyoelewa mimi kama mimi.sasa anapotokea mtu ananiambia eti sijaelewa yeye ndo anaelewa,WHAT?!!
Mimi sijawahi kanyaga kanisani kwa Mwingira lakini naona mahubiri yake through TRENET,nathibitisha
Mwingira ni mtumishi wa Mungu aliye hai.
Watumishi wapo ili upate usaidizi wa kumjua Bwana ili aweze kujifunua kwako. Biblia haisomwi kama Quran kwa watoto kutandikwa bakora mchana kutwa ili wakariri. Biblia ni Gombo la Chuo. Huwezi kusoma kama hekaya za Shigongo na kusema umeshaisoma yote na kuielewa.
Kama ungekuwa umeisoma na kuielewa, basi usingekuwa wa kwanza kusema kuwa 'asemaye Yesu ni Kristo ni nabii wa uongo'. Yesu ndiye Kristo.
Kwa imani yako ni sawa na ndio maana mnachinjana na kupigana mawe kwa jina la mungu wenu anayeishi jirani na shetani huko Makka. Mimi siamini kama ni jambo jema kwa mwanadamu afe akilaaniwa na wamuuao ya kuwa yeye yu mwenye dhambi fulani.
Watumishi wapo ili upate usaidizi wa kumjua Bwana ili aweze kujifunua kwako. Biblia haisomwi kama Quran kwa watoto kutandikwa bakora mchana kutwa ili wakariri. Biblia ni Gombo la Chuo. Huwezi kusoma kama hekaya za Shigongo na kusema umeshaisoma yote na kuielewa.
Kama ungekuwa umeisoma na kuielewa, basi usingekuwa wa kwanza kusema kuwa 'asemaye Yesu ni Kristo ni nabii wa uongo'. Yesu ndiye Kristo.
Watumishi wapo ili upate usaidizi wa kumjua Bwana ili aweze kujifunua kwako. Biblia haisomwi kama Quran kwa watoto kutandikwa bakora mchana kutwa ili wakariri. Biblia ni Gombo la Chuo. Huwezi kusoma kama hekaya za Shigongo na kusema umeshaisoma yote na kuielewa.
Kama ungekuwa umeisoma na kuielewa, basi usingekuwa wa kwanza kusema kuwa 'asemaye Yesu ni Kristo ni nabii wa uongo'. Yesu ndiye Kristo.
EAT THIS-Watumishi wapo ili upate usaidizi wa kumjua Bwana ili aweze kujifunua kwako. Biblia haisomwi kama Quran kwa watoto kutandikwa bakora mchana kutwa ili wakariri. Biblia ni Gombo la Chuo. Huwezi kusoma kama hekaya za Shigongo na kusema umeshaisoma yote na kuielewa.
Kama ungekuwa umeisoma na kuielewa, basi usingekuwa wa kwanza kusema kuwa 'asemaye Yesu ni Kristo ni nabii wa uongo'. Yesu ndiye Kristo.
Hilo halihusiani. Unajuaje kama padri alikuwa anachukua mke wa mtu? Msiwe wepesi wa kuingiza udini kwenye issue ambayo hujapata ushahidi
EAT THIS-Watumishi wapo ili upate usaidizi wa kumjua Bwana ili aweze kujifunua kwako. Biblia haisomwi kama Quran kwa watoto kutandikwa bakora mchana kutwa ili wakariri. Biblia ni Gombo la Chuo. Huwezi kusoma kama hekaya za Shigongo na kusema umeshaisoma yote na kuielewa.
Kama ungekuwa umeisoma na kuielewa, basi usingekuwa wa kwanza kusema kuwa 'asemaye Yesu ni Kristo ni nabii wa uongo'. Yesu ndiye Kristo.