Nabii Mwingira amemalizia Kuvunja kiwanda cha Afro plus Usiku wa Kuamukia leo!!!

I believe in God in trinity. Mwingira is the servant of God, so i believe in all the three you mentioned all starting with capital letters not as you wrote..

mark21:8-many will come in my name claim,'IAM HE' and will mislead many.

Wengi watakuja kwa jina langu wakisema MIMI NDIYE na watawapoteza walio wengi.
 
I believe in God in trinity. Mwingira is the servant of God, so i believe in all the three you mentioned all starting with capital letters not as you wrote..

Luke 21:8.he replied,DONT let anyone MISLEAD YOU,for many will come in my name claiming IAM THE MESSIAH and saying'THE TIME HAS COME,BUT DONT BELIAVE THEM.
 
Masikini Huyu bado kafungwa!pole
 
Wewe na huyo mwingira Wako mnamuomba mungu na wala siyo Mungu!
 
Masikini Huyu bado kafungwa!pole
Huyo amekata kweli hivyo Mungu kaachilia nguvu ya upotevu!!!
Na kama hakuna msaada atatupwa kwenye hukumu ya waliopotea!!!

Tafuta kitabu cha Mwingira mwenyewe anasema mungu alimtokea wakati anafanya zinaa na kahaba!!
Baada ya hapo akaanza kuombea watu huku akinywa Pombe na kutapika tapika!!!
Haya ni maelezo ya anayejiita Nabii Mwingira katika kitabu chake cha wito wangu tafuteni msome muone uchafu huu
 
Mkuu siwezi hata kupoteza muda kusoma Huo u t u.....ili mradi ukweli na ujue na Mungu aw ukweli namtambua basi yatosha kabisa yasije ni pata tu maji... Yaliyowafunga wengine...
 

Ulimsindikiza huko Nigeria?
 
I believe in God in trinity. Mwingira is the servant of God, so i believe in all the three you mentioned all starting with capital letters not as you wrote..
Mwingira mwenyewe katika kitabu chake wa wito anaeleza kuwa mungu wake alimwita wakati anafanya zinaa, na baada ya hapo akaanza kuombea watu huku akiwa anakunywa pombe na kutapika !!!
Hakuna mahali popote ambapo ame andika kuwa aliyubu dhambi ya zinaa!!!
Halafu ni matusi makubwa mtu ametoka katika zinaa halafu anaombea watu???
Tunachoweza kuona ni roho ya zinaa ambayo imo ndani ya Mwingira hadi leo anabaka wake za watu na waumini
 
Kumjua mtumishi wa mungu ni ufahamu. Sio kila mtu anaweza akamjua mtumishi sahihi wa Mungu. unahitaji kusoma Biblia kikamilifu upate picha. Kasome vizuri wewe ndio uje kwangu things are very clear.
Watu wmesoms sana bible na kupata Phd na kukuzidi wewe lakini wameishia kuhalisha Ushoga!!!

Ushoga umetoka kwa waliotunga bible na sasa unasambazwa kwa nguvu kwa wasiojua kusoma!!!
Suala la Uchafu wa Mwingira hauhitaji mtu kwenda kusoma bible na kutuchanganya na lugha za Waingereza walioleta Ushoga !!!
Nimesema ufuka wa Mwingira unatisha hatuwezi kuweka humu jf.!!!
 

Sio Hilo tu! Habari hii ni ya zamani, na Kama ulivyosema haihusiani na dini hizi mbili. Kiwanda kilichovunjwa awali eneo Hilo na Mwingira ni Simon Engineering kilichokuwa kinamilikiwa na Richard Moshi, mkristu, kiwanda kikubwa - machine tools manufactureres. Sijali nitukane watu wa udini hawa? Tusi Dogo tu , pumbfu!
 
Mwingira anapepo linalomupa jeuri !!! Mapepo mengi huwa yanamfanya mtu awe na jeuri
 

Mhhh mkuu nipe title ya hicho kitabu.. yaani mkuu katokewa na mungu while ana do na kahaba
 
Mi mbona nashindwa kuhusianisha kati ya tarehe tajwa hapo kwenye habari na ile iliyopo ndani ya habari.Kwani hii habari ya lini?


 
Mhhh mkuu nipe title ya hicho kitabu.. yaani mkuu katokewa na mungu while ana do na kahaba
Kitabu kinaitwa WITO WANGU , Kinaelezea Jinsi alivyoitwa na mungu wake na kwenda mbinguni na kukutana na Musa.
Ukita piga simu kwa bint kwa simu hii 0712 224104.
Bint huyu alikuwa Efatha kama muuza vitabu vya Nabii Mwingira lakini kwa sasa ameondoka hapo baada ya mambo hayohayo na amefungua duka lake anaendelea kuuza vitabu vingine vya dini vikiwemo vitabu vya Mwingira.

Pia kuna kitabu kinginekinaitwa Ndoto utaona Mwingira anasimulia kuwa Ndoto zote zinatoka kwa Mungu hata zile Mwanamke anaota anaingiriwa na mwanaume (Mahaba) .
Nenda pale Efatha Mwenge katika kikundi cha Kwaya hakuna Mwanamke asiye zini na Mwingira!!
Ukienda pale Benk Efatha utashanga mambo mazito!!!
 

Sipo....
 
mwingira ni nabii wa uongo, ni mmoja kati ya wale waliotabiriwa kwenye Biblia '...Mtawatambua kwa matendo yao...!
 
Mi mbona nashindwa kuhusianisha kati ya tarehe tajwa hapo kwenye habari na ile iliyopo ndani ya habari.Kwani hii habari ya lini?
Wewe ni mvivu wa kupindukia humu jf tumesha soma thread nyingi za ukatili wa Fusika Mwingira!!!
Pale Mwenge amesha bomoa zaidi ya mara saba na taarifa na picha zililetwa humu!!!
Kabla ya kumtetea mtu wako tumia akili kumufuatilia!!!
Hilo tukio la January ni la sita na juama tatu pasaka ni lingine!!!
Mtafute Kenyella atakwmbia kiburi cha Mwingira na mapepo yake
 
Hujui usemalo mawazo yako kama ya Mwingira!!!
Jaribu kuwauliza wumini wenzako wa Efatha , ni kwa nini Mch Mwakasole alikamatwa na polisi???
Mipango yote anayofanya Mwingira inafahamika!!!
Uvamizi wa may Mwingira na vibaraka wake walisema hawahusiki sasa uvamizi wa x mas watu wale wale wamefanya uchafu uleule!!!!
 

Kusoma Biblia kama elimu hataufike level ya mwisho wa elimu ya duniani sio kumjua Mungu. Tunamjua Mungu kwa neno lake plus ufunuo wa Roho Mtakatifu, na inaanza na Imani. Muungano kati ya Neno na Roho Mtakatifu ni vitu muhimu sana. Mungu akijifunua kwako ndipo utaweza kumjua lakini vinginevyo unaweza kuokoka na kusoma biblia mwanzo mwisho januari mpaka december mara kumi kwa mwaka na usimjue Mungu. Hii haibadilishi na haita badili hadhi ya Mungu, atabaki kuwa Mungu umeelewa hujaelewa yeye ni Mungu tu. Kwa hiyo the earlier you understand the better.

Hoja yako inaonesha jinsi ulivyo mjinga katika mambo ya Mungu na mvivu wa kusoma niliandika kuhusu hili. Nenda kasome juu ya manabii wote unao wajua wewe hakuna aliye kuwa mkamilifu hata mmoja. Ni Bwana Yesu pekee ndiye aliyekuwa mkamilifu na kwa sababu yeye ni Mungu.

Tatizo lako jingine unapenda kurukia mambo juu juu. Mwingira anafungisha ndoa za ushoga? kusoma sana sio kumjua Mungu. Kwa kadiri mtu anavyosoma ndivyo uwezekano wa mtu kumrudia Muumba wake unapungua, kwa sababu elimu ya dunia hii kwanza haitoi nafasi ya kuonesha utukufu wa Mungu, pia msomi kama mimi nahitaji logical answers to controversy questions, which religious preachers don't have. Hii inapelekea wasomi kuamini kwamba Mungu hayupo, kwa bababu hawaja wahi kumuona au kuona kazi zake. Injili tuliyo hubiriwa miaka yote haikuwa na majibu ya maswali Mengi na kutatua matatizo ya jamii bali ilitutia Moyo tu. Tulisema tu God is able, God is good.... while suffering. But thanks God, that now Tanzania is getting some light, revelation is in town.
 
mark21:8-many will come in my name claim,'IAM HE' and will mislead many.

Wengi watakuja kwa jina langu wakisema MIMI NDIYE na watawapoteza walio wengi.

Uzuri kuna siku inakuja haya yote yatadhihirika. Let us wait and see nani ni nani! That day is not very far it is very close, He is coming, Jesus is coming.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…