Yaani kifo Chao kiwe Cha kimya kimya,CCM wakifarakana itakuwa ni ahueni kwa Taifa. Hii CCM ya nyakati hizi ni shetani anayewatesa sana Watanzania.
Tuombe wafarekani bila ya kuleta madhara kwa nchi.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu ndiyo maana wanachukua watu toka Chadema kwenda kuwapa teuzi hukohakuna umuhimu wowote kwa chadema kuichunguza ccm, kwasababu hakuna kitu chadema wasichokijua kwa ccm, na hata kujua kwao hakuna madhara yeyote kwa ccm. ukweli uliopo ni kwamba msigwa na yeyote anayeondoka wamechoka na umwinyi wa mbowe na soon hata Lisu ataondoka ama la, atakuwa kimyaaa harakati zote ataziacha. why? baada ya kulamba asali.
Ni sawa na kuvuta shuka ilhali pameshakucha!!Kuwatumbua wale vigogo si ni kujipalia mkaa?
Mbona mtikisiko ni kawaida hata 2010, 2015 na 2020 ilitokea lakini chama chetu kikavuka kwa magoli ya mkonoAmesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Nguvu ya Mamba kumayi ๐ ๐Kuwatumbua wale vigogo si ni kujipalia mkaa?
Majangili yapo kwenye mfumo wa CCMMgawanyiko utasaidia kupata mgombea mpya mzuri asieyumbishwa na magenge ya Msoga Wala sukuma gang wala visiwani!!
Hata 2015 mgawanyiko ulituletea jpm ngoja tuone 2025 utatuletea nani
Hawana ubavu wa kuharibu Amani !Sasa Unadhani CCM inaingiza bila Mungu kuruhusu?
Sasa ni muhimu kuomba Ili kugombana kwao, kusifanyike lango la kuvuruga Amani ya nchi yetu.
Hayati Mwalimu Nyerere ndio aliyasema haya. Kuwa upinzani wa kweli utatokea pale CCM itakapopasuka katikati. Hivyo maombi yawe kinyume na maneno ya huyo mtumishi wa mungu.Mtikisiko ukitokea ndani ya CCM itakuwa ni jambo jema kwa Tanzania. Tukipata vyama viwili, kambi mbili, at least mojawapo inaweza kuanza kujali maslahi ya taifa na kuacha kuishi kwa mazoea.
Si wanasema mtaalam wa hayo magoli ni Nape Diego Nnauye Maradona? Au washamtrain mwingineMbona mtikisiko ni kawaida hata 2010, 2015 na 2020 ilitokea lakini chama chetu kikavuka kwa magoli ya mkono
CC Lucas Mwashambwa
Mavunde ni sheikh pia so wahuni wapo kila eneo.Ukristo hata Tito ni Nabii ๐๐๐
"Expired date" ya Chama Cha Makafara ilikuwa toka mwaka 1999, lakini kikaendelea tu kuwepo kwa "user by date" mpaka mwaka 2015. Toka 2016 kimegeuka kuwa "reject" ila kipo kipo tu ndani ya mbeleko ya vyombo vya dola.Salaam, Shalom.
Katika Unabii wa mwaka 2024, Nabii Sanga ametoa ujumbe Kwa Watanzania kuingia katika maombi kukiombea chama tawala CCM, amesema ameambiwa kuwa mwaka huu 2024 kutakuwa na mgawanyiko mkubwa utakaokikumba chama hiki.
Amesema pia kuwa, mgawanyiko na mtikisiko utakaokikumba chama Cha MAPINDUZI CCM, haitakuwa Siri, itakuwa ni mtikisiko wa wazi ambao hata raia wa kawaida watajua.
Amesema Mungu amemwambia awaase raia kukiombea Chama Cha MAPINDUZI CCM Kwakuwa mtikisiko wa chama tawala utaathiri pia Nchi Kwa ujumla, na ujumbe wa kukiombea CCM ni Ishara kuwa Mungu BADO anapenda CCM iendelee kuongoza Nchi na amesema kuwa, adui amepanga kutumia mgawanyiko huo kuivuruga Amani ya nchi.
Amesema pia, amepata ujumbe kuwapa Marais wote wa Africa kuwa Waaminifu Kwa Nchi zao na kuwatumikia wananchi Kwa HAKI, la sivyo, patakuwako maandamano katika Nchi nyingi Afrika ikiwa hawatakuwa Waaminifu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA ๐น๐ฟ
Karibuni.๐
Source: POG family Tv.
Sheikh ni cheo gani katika uislamu? Hata Karume sr akiitwa Sheikh alikuwa na elimu gani ya dini??Mavunde ni sheikh pia so wahuni wapo kila eneo.