Mimi kama mwanainchi nimesikitishwa sana na moja ya unabii wa kijana anayejiita Nabii shilla!
Katika sehemu ya unabii wake akiwa madhabahuni Nabii huyo anasikika akimtabilia mtu mmoja (muumini wake) kuhusu namna alivyofukuzwa kazi katika jeshi la polisi huko Moshi.
Ukimsikiliza vyema nabii huyo utagundua hakuna unabii anaoufanya pale zaidi ya kueleza taswira aliyosimuliwa na muumini wake namna alivyofukuzwa kazi ndani ya jeshi la polisi kwa tuhuma za Rushwa na makosa mengine.
Miongoni mwa maelezo ya unabii wa kijana Shilla, anadai mtu huyo (muumini) alionewa kwa kubambikiwa tuhuma za rushwa kutoka kwa wakubwa kwa kuwataja baadhi ya makamanda akiwemo aliyekuwa kamanda wa mkoa wa Kilimanjaro miaka 6 iliyopita!
Hivyo nabii huyo anatumia video hiyo kuwaomba viongozi wakuu wa kitaifa kuingilia kati maamuzi ya kufukuzwa kazi ya upolisi kijana huyo pasipo ushahidi wa kukamatika na rushwa ya 5.4mil. (Kwa maelezo ya unabii wake)
Kwa maoni yangu kama mwanaichi naomba anaemjua nabii huyu!
Mwambieni huu siyo unabii Bali ni uchochezi!
Tukio zima la kijana huyo nabii shilla kalieleza yeye kwa mgongo wa unabii, kwasababu yule kijana anafaham wazi kabisa angeeleza yeye tukio hill waziwazi kinidhamu ya kijeshi angeonekana kama mhaini. (Hivyo alimusimulia Nabii wake na kufanyika kama unabii kwa maslahi yao)
Mwambieni kama nabii azingatie mipaka, yaliyoamriwa kijeshi asiyaingilie kwa mihemko kutafta waumini jambo linaloweza kuleta taharuki jeshini na kuhatarisha Amani!
Mwambieni nabii shilla! Siyo lazima kamanda anayefukuzwa kazi ya upolisi au jeshini lazima akamatwe handled akiwa na ushahidi mkononi, Bali kitendo cha tuhuma nzito kujirudia kwa kamanda mmoja kinatosha kumfukuzisha kazi!
Halafu isitoshe makamanda kwasababu wanaelewa kupoteza ushahidi hivyo si rahisi matukio kama hayo ya rushwa ukawakamata na fedha, lakini kijeshi zipo njia zingine za kuangalia namna ya ukiukwaji wa utekelezaji wa majukumu yao yanayodhibitisha rushwa kufanyika!
Mfano:
Ukiona daktali kafukuzwa kazi kwa tuhuma za kubaka wagonjwa, siyo lazima ukutwe akiwa kiunoni mwa mgonjwa, au si lazima mgonjwa akutwe na shahawa, kwasababu wataalam wetu hawa wanajua kupoteza ushahid yamkini anaweza kuvaa condom ili kupoteza ushahidi wa shahawa, au akamdunga mgonjwa sindano ya usingizi ili afanye yake!
Hivyo mtu huyo anapofukuzwa kazi anaweza kulalamika kuwa kafukuzwa kazi pasipo ushahidi.
Mwambieni nabii shilla aache kabisa kufanya uchochezi wa namna hii! Kwanza anahatarisha hata maisha ya waumini wake kwa kueleza uchochezi kama huo!
Akumbuke maelekezo na kanuni wanayopewa wakati wa usajili wa huduma/kanisa yanasemaje, kama hajasajiliwa basi akafanye hivyo haraka apate usajili wa huduma wizara ya mambo ya ndani ili azingatie miiko katika mafundisho yake ili asifanye uchochezi wa namna hii tena kwa makamanda.
Kuna kosa la rushwa na makosa ya kutengeneza mazingira ya rushwa n.k hata huko barabarani mnajionea! Lakini jeshi linapobaini huwa linawafukuza makamanda wengi tu kimya kimya! Haiwezekani kila siku mtu yule yule alalamikiwe na watu tofauti halafu mkuu wake ashindwe kuchukua hatua!
Nitawawekea vidio ya unabii wake bado video ina upload!
Katika sehemu ya unabii wake akiwa madhabahuni Nabii huyo anasikika akimtabilia mtu mmoja (muumini wake) kuhusu namna alivyofukuzwa kazi katika jeshi la polisi huko Moshi.
Ukimsikiliza vyema nabii huyo utagundua hakuna unabii anaoufanya pale zaidi ya kueleza taswira aliyosimuliwa na muumini wake namna alivyofukuzwa kazi ndani ya jeshi la polisi kwa tuhuma za Rushwa na makosa mengine.
Miongoni mwa maelezo ya unabii wa kijana Shilla, anadai mtu huyo (muumini) alionewa kwa kubambikiwa tuhuma za rushwa kutoka kwa wakubwa kwa kuwataja baadhi ya makamanda akiwemo aliyekuwa kamanda wa mkoa wa Kilimanjaro miaka 6 iliyopita!
Hivyo nabii huyo anatumia video hiyo kuwaomba viongozi wakuu wa kitaifa kuingilia kati maamuzi ya kufukuzwa kazi ya upolisi kijana huyo pasipo ushahidi wa kukamatika na rushwa ya 5.4mil. (Kwa maelezo ya unabii wake)
Kwa maoni yangu kama mwanaichi naomba anaemjua nabii huyu!
Mwambieni huu siyo unabii Bali ni uchochezi!
Tukio zima la kijana huyo nabii shilla kalieleza yeye kwa mgongo wa unabii, kwasababu yule kijana anafaham wazi kabisa angeeleza yeye tukio hill waziwazi kinidhamu ya kijeshi angeonekana kama mhaini. (Hivyo alimusimulia Nabii wake na kufanyika kama unabii kwa maslahi yao)
Mwambieni kama nabii azingatie mipaka, yaliyoamriwa kijeshi asiyaingilie kwa mihemko kutafta waumini jambo linaloweza kuleta taharuki jeshini na kuhatarisha Amani!
Mwambieni nabii shilla! Siyo lazima kamanda anayefukuzwa kazi ya upolisi au jeshini lazima akamatwe handled akiwa na ushahidi mkononi, Bali kitendo cha tuhuma nzito kujirudia kwa kamanda mmoja kinatosha kumfukuzisha kazi!
Halafu isitoshe makamanda kwasababu wanaelewa kupoteza ushahidi hivyo si rahisi matukio kama hayo ya rushwa ukawakamata na fedha, lakini kijeshi zipo njia zingine za kuangalia namna ya ukiukwaji wa utekelezaji wa majukumu yao yanayodhibitisha rushwa kufanyika!
Mfano:
Ukiona daktali kafukuzwa kazi kwa tuhuma za kubaka wagonjwa, siyo lazima ukutwe akiwa kiunoni mwa mgonjwa, au si lazima mgonjwa akutwe na shahawa, kwasababu wataalam wetu hawa wanajua kupoteza ushahid yamkini anaweza kuvaa condom ili kupoteza ushahidi wa shahawa, au akamdunga mgonjwa sindano ya usingizi ili afanye yake!
Hivyo mtu huyo anapofukuzwa kazi anaweza kulalamika kuwa kafukuzwa kazi pasipo ushahidi.
Mwambieni nabii shilla aache kabisa kufanya uchochezi wa namna hii! Kwanza anahatarisha hata maisha ya waumini wake kwa kueleza uchochezi kama huo!
Akumbuke maelekezo na kanuni wanayopewa wakati wa usajili wa huduma/kanisa yanasemaje, kama hajasajiliwa basi akafanye hivyo haraka apate usajili wa huduma wizara ya mambo ya ndani ili azingatie miiko katika mafundisho yake ili asifanye uchochezi wa namna hii tena kwa makamanda.
Kuna kosa la rushwa na makosa ya kutengeneza mazingira ya rushwa n.k hata huko barabarani mnajionea! Lakini jeshi linapobaini huwa linawafukuza makamanda wengi tu kimya kimya! Haiwezekani kila siku mtu yule yule alalamikiwe na watu tofauti halafu mkuu wake ashindwe kuchukua hatua!
Nitawawekea vidio ya unabii wake bado video ina upload!