- Thread starter
- #21
Turudi kwenye hojaHana unabii wowote mcheze ngono tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Turudi kwenye hojaHana unabii wowote mcheze ngono tu.
Nlikuwa simjui uyo shilla! Siku moja ktk kipindi cha gerezani sjui channel gan ile wanamuhoji mr akamuona naskia anampigia rafiki yake eti naona yule jamaa alokutapeligi saivi anajiita nabii! Sjawai kutaka kujihusisha kujua shilla ni nani tena......wanakumbatia matapeli kupitia miavuli ya diniUmeandika mengi lakini nakataa hatua ya kutaka kumnyamazisha nabii.
Ikiwa amedanganya mshtakini, kama ameongea ukweli basi kijana apate haki yake. Tutumie sheria na si vitisho.
Tupendane wabongo.
HahahNlikuwa simjui uyo shilla! Siku moja ktk kipindi cha gerezani sjui channel gan ile wanamuhoji mr akamuona naskia anampigia rafiki yake eti naona yule jamaa alokutapeligi saivi anajiita nabii! Sjawai kutaka kujihusisha kujua shilla ni nani tena......wanakumbatia matapeli kupitia miavuli ya dini