Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mpumbavu....... kulikuwa na haja gani ya kututajia majina ya hao covid 19 ?Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Imekuingia?!Mpumbavu....... kulikuwa na haja gani ya kututajia majina ya hao covid 19 ?
Kwahiyo Esta Bulaya, Halima Mdee na Nandy ndio wanaomhujumu, basi sawaNabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
MpumbavuImekuingia?!
Wewe unajiona hauko mbioni ku-R.ip sio? Ha ha ha.IGP lazima atubu....Yupo mbioni ku-R.ip
Nabii wanatabiri jinsi wanavyopenda wanaotaka kusikia stakeholders, kazi kwei kweiAisee muda si mrefu na mie nitakuwa nabii
umepotea sana rafiki siku hiziMchungaji nae anaona Gwajima anafaidi sana trending. Hivyo nae anatafuta kiki.
Leo kwa mara ya kwanza ninakubaliana nawe.Huu upumbavu ufike mwisho sasa!
Wanamhujumuje hao watu?
Yani yeye Samia si ana timu yake ya washauri? Wao hawaoni hizo hujuma?
Swali langu kuu, anahujumiwaje?
Kawaambia kwa mipasho?Si ndo keshawaambia hivyo?
Nabii!Huyo ndugu akamatwe awataje! Na atoe udhibitisho.
Ni ujumbe kutoka mbinguni!Kawaambia kwa mipasho?
Anatafuta tension tu kanisani kwake.
Eti watakufa kisa wanamhujumu Rais!
Manabii wa zamani hata akikosea Rais walimfuata instantly na kumwambia ukweli bila kuogopa jela wala kifo.
Huyu Suguye kamsifia Magufuli baada ya jiwe kufa anaanza kujipendekeza kwa Samia
Rais Samia mpaka sasa ni bora mara 200 kuliko Magufuli.Eti anahujumiwa😆😆,, we are excusing incompetence now
Umeshakuwa tayari. Hujajua tu kuutumia unabii wako.Aisee muda si mrefu na mie nitakuwa nabii
Aseee mkuu basi mimi nina mawazo tofauti na ya kwako...Naona nchi iko autopilotRais Samia mpaka sasa ni bora mara 200 kuliko Magufuli.
Hahujumiwi na mtu yeyote.
Wala hakuna mtu mwenye uwezo wa kumhujumu Rais wa Tanzania labda atake mwenyewe.
Nyingine ni stori tu kama stori nyingine kwasababu wabongo tunapenda Ubuyu na kabobo, lazima tuzungumze.
Binafsi naona mambo yanaenda vizuri tu.
Mamlaka tupieni jicho manabii feki hawa. Wanatumikishwa na wanasiasa walioko dhoofu hoi bin tabaan.Nabii Suguye wa kanisa la WRM amesema Mungu amemtokea na kumuonesha viongozi wakubwa watatu wanaomuhujumu Rais wetu mama Samia.
Nabii Suguye amewataka viongozi hao waachame na mipango yao miovu mara moja vinginevyo watakufa.
Kanisa la WRM ndiko wanakosali wabunge wa Chadema Halima Mdee na Esther Bulaya pamoja na msanii Nandy.
Source: WRM tv
Pia jina tu halitoshi kumfanya mtu asiamini anacho kijuaJamaa kashangaa kwa kuandika jina Halima...nimemuongezea jina la mbele la Halima ajue kuwa ana vinasaba vya Kikristo kwamba jina Halima pekee lisimchanganye