Nabii Suguye: Kuna viongozi watatu Wanamhujumu Rais Samia na kama viongozi hao wasipotubu Watakufa!

Ameishaona fulsa ya kuzuga watu na mazonge yake!!
Nani hajuhi kwamba ndani ya ccm viongozi wanapingana na Kuna wengi hawakubaliani na mama Samia??!
There is nothing prophetic about this issue!!huyu ni jamabazi tu kama wengine!!
Anaizuga misukule yake!!!
 

mpumbavu, mshenzy, mjinga n Ni mtumish wa shetani
 
Hakukuwa na haja ya kusema nan anasali na nani hasali

Ushaharibu uzi ,unaonekana kuna kitu unakitaka


Akili yako ni kama
 
Kwani unabii unapatikana vipi? natamani kuwa nabii
 
Leo December 26 Kuna Jambo Nabii Suguye Kalitabiri,Kwangu Nimebaki Kutetemeka,Kaigusa Serikali,Katabiri Viongozi Wa Serikali na Kidini Kwenda Safari ya Mbali,Kama Hawatatubu na Kumrudia Shauri Zao,Pia Kamtaja Sangoma Tegemewa Kuwa Siku Zake Zinahesabika Lazma Aende Safari ya Mbali,Kasema Tuzidishe Maombi Wabaya wa Mh Rais Wamemtega Mara Kadhaa Wakamkosa,Na Sasa Wamemroga,Pia Kasema Tumuombee Spika,Mmemsikia Leo?

Tuliombee Taifa Letu Sana,Manabii Hawa Sio Wa Kupuuza Hata Kidogo.

Tuwaombee Viongozi Wetu.
 
Duh....!
 
Huyu nabii alimuonya jiwe hakusikia. Mwisho wa siku hatunaye duniani.
 

Ngoja tuquote kwa ajili ya kuja kuunga dots baadaye...

Spika naye ni wa kuombewa kweli? Mzee wa Galilaya yule yupo vizuri 😁
 
Ngoja tuquote kwa ajili ya kuja kuunga dots baadaye...

Spika naye ni wa kuombewa kweli? Mzee wa Galilaya yule yupo vizuri 😁
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…