Inevitable
Senior Member
- Apr 27, 2012
- 111
- 277
Hivi, huyu jamaa ana agenda gani?
Kwanini anaachwa?
Kwanini anaachwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke Hana Baya, anajua kabisa mme dishi halisomi ile anampa support tu😃Nilichojifunza ni kuwa supportive kwa mume wangu kama mke wa Nabii Tito 🤣🤣
Nawakubali sana, wakiamua kucheza muziki wanacheza wote.Mke Hana Baya, anajua kabisa mme dishi halisomi ile anampa support tu😃
Huenda anatumwa kuyumbisha mijadala migumu ya umma
Huyu jamaa ni WA siku nyingi sana, mwaka 2011 aliwahi kunikuta bulls park pale survey napiga msosi ndo kipindi naanza chuo akawa ananiletea swaga zake na mavazi hayo ya kiutumishi nikawa simuelewi.....Nawakubali sana, wakiamua kucheza muziki wanacheza wote.
Halafu wana watoto wazuri hatari.
Nabii Tito muhuni, mi pia namkubali kitambo sana.Huyu jamaa ni WA siku nyingi sana, mwaka 2011 aliwahi kunikuta bulls park pale survey napiga msosi ndo kipindi naanza chuo akawa ananiletea swaga zake na mavazi hayo ya kiutumishi nikawa simuelewi.....
Kipindi hicho simjui, alivyofika na mavazi yake na misalaba nikawa namjibu kwa adabu tu, baadae ananiambia piga vyombo mwanangu na kama una house girl kwako piga usimuache😃😃 nikabaki nashangaa tu
😂Ni bikra na ana watoto wa3