Nabii Tito: Mimi nimezaliwa nikiwa Hanisi na Mke wangu ni Bikra

Nabii Tito: Mimi nimezaliwa nikiwa Hanisi na Mke wangu ni Bikra

Yaani jamaa hata kama dishi limeyumba kuna agenda anapenyeza na mamlaka zitakuwa zimemuacha makusudi kwakuwa zinafurahishwa na mbinu yake ya kupenyeza agenda husika.

Otherwise, angegusa siasa asingeachwa salama
Ni kweli kabisa ndugu.Ukiangalia utitiri wa makanisa ulivyo siku hizi na aina ya viongozi wao pasua kichwa, pamoja na aina ya mafundisho/mahubiri yao kwa jamii zetu,...tungekuwa na serikali yenye viongozi makini na wanaojali,haya makanisa yangedhibitiwa na hata kufutwa kabisa.
Lakini kwa hali ilivyo sasa ni wazi kuwa kuna mamlaka yenye nguvu kubwa ipo nyuma ya haya makanisa na viongozi wao, kusukuma ajenda zake ovu,na viongozi wa serikali yetu wapo kimya kwasababu za maslahi binafsi pamoja na kujipendekeza kwao kwa mabepari huku wakilikuza deni la taifa.
 
Sikuhizi kuna watumishi wa Mungu wanawehuka vibaya sana walai
Hawa ni Watumishi wa mungu yule mwovu,wa kuzimu.
Watumishi wa MUNGU WA MBINGUNI [MUUMBAJI],huchunga vinywa vyao wasimkosee MUNGU,na huzungumza kwa hekima.
 
Kuna video moja laisema alianza ushoga kuanzia 2008 hadi sasa, na sijui huyo mdada akili yake ikoje na wanaishi vipi?
 
tito hana kibarua chochote, tito huongea mapotofu na hakuna wa kumfanya, ile kufungwa na kujifanya anajiua ilikuwa mbinu ya kumwachia, jiulize, miaka yote anaishi nyumba anayolipa nani, anakula nini, kama kweli ni shoga, linajiuzia wapi au linapigiwa wapi si tungeshajua wapi linapigiwa ingevuja tu. masisiemu wakati mwingine tumieni masekreti sevisi mazuri mengine tunayastukia mapema mno.
 
Back
Top Bottom