Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Yule amefanyiwa mapokezi makubwa Arusha janaMbona huyu wafuasi wake hata 50 hawafiki, muanze na yule anayekusanya watu zaidi ya 200K na kuwahadaa kila kukicha. Nadhani serikali imeamua kutokuwalinda raia wake dhidi ya hawa matapeli. Tatizo laweza kuwa ni serikali yetu na wala si huyo Tito