Inevitable
Senior Member
- Apr 27, 2012
- 111
- 277
Mke Hana Baya, anajua kabisa mme dishi halisomi ile anampa support tu๐Nilichojifunza ni kuwa supportive kwa mume wangu kama mke wa Nabii Tito ๐คฃ๐คฃ
Nawakubali sana, wakiamua kucheza muziki wanacheza wote.Mke Hana Baya, anajua kabisa mme dishi halisomi ile anampa support tu๐
Huenda anatumwa kuyumbisha mijadala migumu ya umma
Huyu jamaa ni WA siku nyingi sana, mwaka 2011 aliwahi kunikuta bulls park pale survey napiga msosi ndo kipindi naanza chuo akawa ananiletea swaga zake na mavazi hayo ya kiutumishi nikawa simuelewi.....Nawakubali sana, wakiamua kucheza muziki wanacheza wote.
Halafu wana watoto wazuri hatari.
Nabii Tito muhuni, mi pia namkubali kitambo sana.Huyu jamaa ni WA siku nyingi sana, mwaka 2011 aliwahi kunikuta bulls park pale survey napiga msosi ndo kipindi naanza chuo akawa ananiletea swaga zake na mavazi hayo ya kiutumishi nikawa simuelewi.....
Kipindi hicho simjui, alivyofika na mavazi yake na misalaba nikawa namjibu kwa adabu tu, baadae ananiambia piga vyombo mwanangu na kama una house girl kwako piga usimuache๐๐ nikabaki nashangaa tu
๐Ni bikra na ana watoto wa3