Yule amefanyiwa mapokezi makubwa Arusha janaMbona huyu wafuasi wake hata 50 hawafiki, muanze na yule anayekusanya watu zaidi ya 200K na kuwahadaa kila kukicha. Nadhani serikali imeamua kutokuwalinda raia wake dhidi ya hawa matapeli. Tatizo laweza kuwa ni serikali yetu na wala si huyo Tito
CCM wana hola sanaHuenda anatumwa kuyumbisha mijadala migumu ya umma
Hakika, serikali iliyoshindwa kutekeleza majukumu yake ya msingi hujificha nyuma ya vichaka vya hawa matapeli wa kiimani. Huku viongozi wakuu wakiwa mstari wa mbele kuwafanyia promo. Hii ni dalili ya jamii iliyokata tamaa, isiyoona namna ya kujikwamua na matatizo ambayo kwa wenzetu walio serious wala hayawasumbui. Unaendaje kutoa 500K ili binadamu mwenzako akuombee kwa Mungu upate ajira, upande, cheo, ujenge nyumba, mwanao afaulu mitihani, nk nk nk,Yule amefanyiwa mapokezi makubwa Arusha jana
Maana aliishi kwenye system kule dodoma kumbe alishahama.Kuna kipindi nilwaza kuwa ni kichaa wa system!
Labda unamkubali kwa ukituko wake. Na ukituko huo anao kwa sababu kipa katoka.Sio unahisi b..., uko sahihi. Sasa mimi huo uchizi wake ndio namkubali hadi basi. Huwa ananifurahisha mno, unajua ile unatokea tu kumkubali mtu regardless? Ndivyo nilivyo kwa Tito.
Nimekutana njiani na muumini wa nabii mmoja anaimba "...ametenda maajabu nami siwezi kueleza..." ukimtazama amevaa nusu kandambili, suruali ameifunga na kipande cha tai, nikajiuliza kama sasa yuko hivi je kabla ya kutendewa maajabu alikuwaje?Hii ni dalili ya jamii iliyokata tamaa, isiyoona namna ya kujikwamua na matatizo ambayo kwa wenzetu walio serious wala hayawasumbui
Nilichojifunza ni kuwa supportive kwa mume wangu kama mke wa Nabii Tito 🤣🤣
Si tuliambiwa tutapewa wa kufanana nao Mkuu?Mke na mume wote hawako sawa
Hivi, huyu jamaa ana agenda gani?
Kwanini anaachwa?
🤣🤣🤣🤣🤣..salale....kweli wamefanana. Sijui kama anajua mme wake analiwa kiboga🤣🤣🤣🤣Si tuliambiwa tutapewa wa kufanana nao Mkuu?
Asubuhi utamkuta round about ya kawe anachekesha sana tito sijui nani anampa hela kila siku za kuishi
Mwenyewe mbona alisema alishaacha jamani? Wala hafanyi siri.🤣🤣🤣🤣🤣..salale....kweli wamefanana. Sijui kama anajua mme wake analiwa kiboga🤣🤣🤣🤣
Hapo mim nilijua labda nmesikia vibaya !! Ni maajabu😂Ni bikra na ana watoto wa3