Pole Sana kwa kukuchosha.RPC ni cheo kikubwa?
Huyo hawezi kuwa tiss hata kidogo.
Huyo dogo ana akili ndogo sana.
Kuna siku tulikuwa wote waiting room/ lounge Julius Intr...msumbufu sana na ana utoto mwingi yaani alinichosha balaa
Huyu myamba juzi kati kanisani kwake eti Noel Gio alienda toa ushuhuda.Si unajua wasanii hao,wanaangalia biashara ya sanaa yao...Mimi naona ni waigizaji kwenye kivuli cha uchungai....kuna mwingine Mchungaji Mayamba naye alianza kuigiza uchungaji kwenye movie za Kanumba ila leo ni Mchungaji anakula sadaka za kondoo.
Tupe kwanza maana ya neno "mlevi"View attachment 2003941
View attachment 2003943
Nabbing wetu akigonga vyombo na washikaji wake
- Amarula
- Most
- Jack Daniel
Kosa lake ni nini hapoNdio maana dini na imani zake zimekosa ushawishi siku hizi. Watu wanaona bora wapambanie life tu na sio kwenda kwenye nyumba za ibada kwa sababu ya watu kama huyu.
Hivi kama wewe unavuta bangi na haikuletei madhara yoyote unaweza kumshauri mtu mwingine avute?Kunywa sio mbaya. Ubaya ni kusema watu wasinywe wakati wewe unakunywa
Huyu mayamb juzi kati kanisani kweli etu Noel Gio alienda toa ushuhuda.
Na mayamba akalipi ads kabisa ushuhuda wa noel.
Mimi nilijua kuwa anashuhudia kaacha ushoga kumbe nashuhudia kaacha kiburi cha umaarufu.
Hadi hapo umepigwaaa,pia jua wewe ni vuvuzela la huyu umwitaye nabii wako.View attachment 2003941
View attachment 2003943
Nabbing wetu akigonga vyombo na washikaji wake
- Amarula
- Most
- Jack Daniel
Bongo za wabongo zina hitilafu zilizo nyingi na zisizo mithilika,fikiria bongo wapo akina Mackenzie wangapi wanawazika wabongo wakiwa hai.Hamna cha TISS wala nn. Huyo ni mtu katengeneza tu kamrija kake ka kunyonyea pesa na kamekaa mkao. Acha ale maisha
Dunia nzima hata ulaya ipoBongo za wabongo zina hitilafu zilizo nyingi na zisizo mithilika,fikiria bongo wapo akina Mackenzie wangapi wanawazika wabongo wakiwa hai.
Sijawahi kuelewa hawa matapeli huwa wanawezaje kuwabrain wash wanakondoo na wanambuzi wawapatie fungu la kumi.View attachment 2003941
View attachment 2003943
Nabbing wetu akigonga vyombo na washikaji wake
- Amarula
- Most
- Jack Daniel
Hivyo tuwaweke wanaojiita manabii kundi moja na wana sii hasa sio.Dunia nzima hata ulaya ipo
Huenda sasa tuseme ni Nabii wa walevi na kundi lake ni lawalevi.Sijawahi kuelewa hawa matapeli huwa wanawezaje kuwabrain wash wanakondoo na wanambuzi wawapatie fungu la kumi.
Eti pombe hazijaguswa. So, kumbe pombe mbaya lakini unaruhusiwa kupiga nayo picha.
Tapeli huyo sasa hivi ameachana na mambo ya kanisa yuko DubaiiiiiNi nabii wa nini huyo?