Nabii wetu ni mlevi kupindukia

Nabii wetu ni mlevi kupindukia

Si unajua wasanii hao,wanaangalia biashara ya sanaa yao...Mimi naona ni waigizaji kwenye kivuli cha uchungai....kuna mwingine Mchungaji Mayamba naye alianza kuigiza uchungaji kwenye movie za Kanumba ila leo ni Mchungaji anakula sadaka za kondoo.
Heeeeee
 
Si unajua wasanii hao,wanaangalia biashara ya sanaa yao...Mimi naona ni waigizaji kwenye kivuli cha uchungai....kuna mwingine Mchungaji Mayamba naye alianza kuigiza uchungaji kwenye movie za Kanumba ila leo ni Mchungaji anakula sadaka za kondoo.
Yule chalii siku hizi Ni mchungaji?Maajabu
 
Huyu shila anavyotembea tu Ni Kama marinda Yake wahuni walishapita nayo kitambo tu.
 
Kuna mtu humu anaitwa Citizen B, huyo sijui ni me sijui ni ke whatever lkn yeye katika hili la upumbavu wa nabii shillah, lawama zake zote kwa shekhe ponda na waislam unadhani labda wao ndio waliomtuma,, ngojeni aje muone
 
Hivi huyu nabii shillah ndo mmiliki wa Duka la mavazi linaitwa hivyo Billionaire Shillah liko maeneo ya Studio
 
RPC ni cheo kikubwa?
Huyo hawezi kuwa tiss hata kidogo.
Huyo dogo ana akili ndogo sana.
Kuna siku tulikuwa wote waiting room/ lounge Julius Intr...msumbufu sana na ana utoto mwingi yqni alinichosha balaa

RPC ni cheo kikubwa ndugu yangu

Kuna wengi sana wamefikaga mpaka unaibu kamishna ila mpaka wanastaafu hicho cheo wamekisikia tuu kwa wengine tena wengi sana
 
RPC ni cheo kikubwa ndugu yangu

Kuna wengi sana wamefikaga mpaka unaibu kamishna ila mpaka wanastaafu hicho cheo wamekisikia tuu kwa wengine tena wengi sana
Tofautisha Rank na cheo
 
Tofautisha Rank na cheo

For sure

Wenye rank zenye hadhi ya kupewa u"RPC" wengi sana tena mamia kwa mamia wamejaa tu pale makao makuu ila wanapata wachache

Halafu miaka ya karibuni ni karibia kila Polisi aliepata nyota akiwa na umri mdogo atafikia rank hizo
 
Back
Top Bottom