Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Hii TISS ya siku hizi mbona hatari hiviNi TISS huyo.....hapo yupo kazini.kuweni makini naye. Baba yake ana cheo kikubwa Central!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii TISS ya siku hizi mbona hatari hiviNi TISS huyo.....hapo yupo kazini.kuweni makini naye. Baba yake ana cheo kikubwa Central!
Nimecheka sana kibachanga kipilimbaNi kweli tiss huwa inatumia vibachanga Kama Hawa Ila huwa wako smart sio hiki kibachanga mnachokidiscuss humu. Mfano wa kibachanga smart Cha tiss no kipilimba japo alifeli kwenye tenure yake.
Mada pendwa jf hiyooooHivi TISS huwa mnaichukuliaje?
Kuna mmoja yeye ibada yake ameamua kuwajambia waumini [emoji1787] wonders shall never endBillionaire Tom Steyer says Bill Gates and other ultra-rich "depend on millions of poor people"
Manabii nao wana depends mazuzu ili wao kula batwaaaa.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Wajinga ni fursa hata mimi nataka waongezeke maradufuTulia kwanza wajinga wanatakiwa waongezeke wawe wengi
Ndivyo wajinga na wasiokuwa na hela wanaamini naonaSiku hizi kila mtu anaefanya ujinga na upumbavu utasikia Ni Tiss.
Hii dunia wajinga hawaishi, ndiyo maana mpaka leo watu wanauziwa Simu -Sabuni
TP tu kama wakina bushiruHamna cha TISS wala nn. Huyo ni mtu katengeneza tu kamrija kake ka kunyonyea pesa na kamekaa mkao. Acha ale maisha
HahaKabisa,kuuziwa sabuni nimeanza kuona late 80s lakini mpaka kesho watu wanauziwa miche ya sabuni.
Wa kuwashangaa ni hao Kondoo wa Shilla.
nimeona kule insta kaandika sijui watu wanamuonea gereWajinga waliwao
Ova
Wapo Hadi watembeza samaki mitaaniBasi kama ni tiss tunasafari ndefu kama taifa
Haha
Eti nabii tito
Sijui mchungaj masanja
Ova