Nabii wetu ni mlevi kupindukia

Nabii wetu ni mlevi kupindukia

Wajinga ndio waliwao, wacha waponde hela ya sadaka...nyie endeleeni kushika maneno yake toka kwenye biblia yeye mshiko wenu..
 
Ni kweli tiss huwa inatumia vibachanga Kama Hawa Ila huwa wako smart sio hiki kibachanga mnachokidiscuss humu. Mfano wa kibachanga smart Cha tiss no kipilimba japo alifeli kwenye tenure yake.
Nimecheka sana kibachanga kipilimba
 
Back
Top Bottom