Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Inasikitisha kwa kweliHii dunia wajinga hawaishi, ndiyo maana mpaka leo watu wanauziwa Simu -Sabuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha kwa kweliHii dunia wajinga hawaishi, ndiyo maana mpaka leo watu wanauziwa Simu -Sabuni
Tuwaheshimu TISS jamani hivi Shila ana akili za kuwa hata mgambo wa kufukuza machinga?Ni TISS huyo.....hapo yupo kazini.kuweni makini naye. Baba yake ana cheo kikubwa Central!
Nabii wa uongoNi nabii wa nini huyo?
[emoji23][emoji23][emoji23]Duuh
Kama ni hivo TISS basi inamtu wa hovyo sana.
Huyo dogo hata ukimsikiliza interview zake ni empty headed hamna kitu kichwan nashangaa kuna watu huwa wanaka chini kumsikiliza?
Hivi TISS huwa mnaichukuliaje?Ni TISS huyo.....hapo yupo kazini.kuweni makini naye. Baba yake ana cheo kikubwa Central!
RPC ni cheo kikubwa?Ni TISS huyo.....hapo yupo kazini.kuweni makini naye. Baba yake ana cheo kikubwa Central!
Hahaha.. Kuna mtu ndo aliwafanya wawe wanarefer kwa mtu yeyote wasiomwelewa kama TISS. na washazoea.Hivi TISS huwa mnaichukuliaje?
Kama wewe ulivo msikiliza interview zakeDuuh
Kama ni hivo TISS basi inamtu wa hovyo sana.
Huyo dogo hata ukimsikiliza interview zake ni empty headed hamna kitu kichwan nashangaa kuna watu huwa wanaka chini kumsikiliza?
Tulia kwanza wajinga wanatakiwa waongezeke wawe wengiHii dunia wajinga hawaishi, ndiyo maana mpaka leo watu wanauziwa Simu -Sabuni
Na wewe kama mjinga unaaminSiku hizi kila mtu anaefanya ujinga na upumbavu utasikia Ni Tiss.
Ndo umuanike hapa?Ni TISS huyo.....hapo yupo kazini.kuweni makini naye. Baba yake ana cheo kikubwa Central!
Dini haina tatizo shida ni watu dini zipo straightNdio maana dini na imani zake zimekosa ushawishi siku hizi. Watu wanaona bora wapambanie life tu na sio kwenda kwenye nyumba za ibada kwa sababu ya watu kama huyu.
Hata kama wamekosa watu lkn sio hiyo mwenye utoto mwingi.Ni TISS huyo.....hapo yupo kazini.kuweni makini naye. Baba yake ana cheo kikubwa Central!