Nabii wetu ni mlevi kupindukia

Nabii wetu ni mlevi kupindukia

Duuh
Kama ni hivo TISS basi inamtu wa hovyo sana.
Huyo dogo hata ukimsikiliza interview zake ni empty headed hamna kitu kichwan nashangaa kuna watu huwa wanaka chini kumsikiliza?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Inashangaza zaidi mmojawapo ni wewe.
 
Duuh
Kama ni hivo TISS basi inamtu wa hovyo sana.
Huyo dogo hata ukimsikiliza interview zake ni empty headed hamna kitu kichwan nashangaa kuna watu huwa wanaka chini kumsikiliza?
Kama wewe ulivo msikiliza interview zake
Acha wengine nao wamsikilize wagundue kama wewe ni empty headed
 
Ndio maana dini na imani zake zimekosa ushawishi siku hizi. Watu wanaona bora wapambanie life tu na sio kwenda kwenye nyumba za ibada kwa sababu ya watu kama huyu.
Dini haina tatizo shida ni watu dini zipo straight
 
Back
Top Bottom