Nachukia wanaopenda kuuliza suala la dini sababu siamini katika dini bali uwepo wa Mungu. Je, nipo sahihi?

Nachukia wanaopenda kuuliza suala la dini sababu siamini katika dini bali uwepo wa Mungu. Je, nipo sahihi?

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
Kiukweli kwa Tanzania ukimwambia mtu huna dini unaonekana mtu wa ajabu sana.

Ila kwangu nimekuwa nikijilazimisha sana na kuishi maisha ya kinafki sana ili tu nionekane nina dini ila kadri muda unavyokwenda najiona kabisa sina mihemko na hizi dini jamani iwe Christian au Islamic au buddha sijui Hindus na nyingine, yaani hazinivutii kabisa!

Ebu nipeni ushauri, ni mimi ndio napotea shetani amenitawala au nipo sahihi niendelee kushikilia bomba?
 
Achana na dini, dini ni utapeli kama utapeli mwingine.

Mungu wa kwenye biblia ama quran hayupo.

Ni common sense tu kuamini kwamba Hii Dunia ina kitu kiliianzisha ila kitu hicho sio kinachoitwa mungu kwenye biblia ama quran, vile ni vitabu vya kitapeli.
 
It's simple hua nasema mimi siamini katika Mungu.
 
Kiukweli kwa tanzania ukimwambia mtu huna dini unaonekana mtu wa ajabu sana.

Ila kwangu nimekuwa nikijiforce sana na kuishi maisha ya kinafki sana ili tu nionekane nina dini ila kadri muda unavyokwenda najiona kabisa sina mihemko na hizi dini jamani iwe Christian au Islamic au buddha sijui Hindus na nyingine yaani
Hazinivutii kabisa

Ebu nipeni ushauri ni mimi ndio napotea sheitwani amenitawala au nipo sahihi niendelee kushikilia bombaa..
Dini ni mfumo wa maisha yako au tabia yako dini unao ila jina la dini lako ndo huna.
 
Back
Top Bottom