Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Mie huwa napenda tena naweka na kiti tunapiga story huku anapika! sometime napandisha huko huko kimoja unakula cha fasta! we ulie nae humpendi tu!
Ila kutombaniana jikoni nayo ina mizuka ya tofauti, Yaani ile kainama hana hili wala lile unabambia,akikaa vibaya chupi inasogezwa pembeni unachomeka ukuni...alaf hii mara nyingi huwa hata hamsemeshani ni miguno tu.
 
Ha haaaaa hiyo ya kutovaa kufuli nilikuwa sijui!inafanya kazi kweli?mi huwa nadhani ni msemo tu kwamba chakula kitamu mpishi hakuvaa chupi.
Ni halisi na inafanya kazi mnoo!! hata wageni wa maana km wakwe, maprede jee! wakija wewe pika kwa stahili hii!!...watakuachia mpunga wa maana!! utasikia ''ohoo! shemeji aksante kwa ukarimu, chakula naomba number zako '''

basi siku mbili tu mbele Million hiyooo! mara laki mara mkeka mara ftji ili mradi tu upike bila kufuri yaani papuchi ni mambo yote! asikudanganye mtu!!! dawa ya mengi sana!! na haya yalianzia Eden kuleeee!

hawa Me usiwaone hivi wakiona ile Alama ya 'V'' maweee!! akili zote zina hama!,,,siyo simba, tembo wala faru...wooote jinsia za kiume ziko ivo!! wanaruka ruka tu kujifanya wajanja lkn sisi ndo kila kitu! tukilijua hili...hee hakutishi!

Vita yooote!!! Duniani wana kung'ung'u tana weee!! wafe wabakie wachache ni utajua weye ila ni ili wapate nini??..... pesa!! sasa jiulize pesa za nini........ (mke)apewe hiyo ndude . hata Malaya CD ni mke Pia.......ana wauzia papuchi tena bei mbaya!! na CD wanamaisha bomba mnoo!!

Best angu wee! si jaribu tu kwani nani anakuona??...tena wkt mvuke unakolea panua na vipaja kidogo kwa mbaali km unafunga na kufungua kale kamvuke kaingie na kutoka.... hasa ukiwaa upishi wa mafiga na kuni unanoga zaidi.......jiko la mkaa ipo sawa, lkn Kuni heeee!! ni 100%

Niliwahi kaa semina moja ivi nikawashauri lool! wadada wakalalamika kidogo nikawaambia siyo sumu hiyo na Hkn ubaya ni mali ya mumeo hiyo shida iko wapi???? na lengo ni kudumisha Mapendo na mapendo mnayajenga woote hapo nyumbani yako!
 
Asee
 
Kila mtu na apendavyo yeye,kwa upande wangu wife anapenda sana akiwa anapika niwe jirani na story za hapa na pale huku mapishi yanaendelea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee mpk anafunua kuangalia
 
Eeeeeh dada!Asante kwa maarifa,Leo umenifanyia ukungwi mzitoo... Leo ni kazi moja tu kupikaaa
umenichekesha Hao wageni wa kutuma helaπŸ˜‚
 
...vijitabia kama hivi ndivyo humpa credit dada wa kazi au shemeji au yeyote aliyeko home...na mwisho unajikuta umetolewa mchezoni.

Mahaba ni tuvitu tudogo-tudogo tu...tuzoee tu!!
 
Labda kama kwenda jikoni kumla mpishi... Zaidi ya hapo ni umama...

Poleni sana...
 
Ndio hayo hata yakienda hotelini unakuta yamejazana counter pale yanachagua " nipe hiro...aah hiro siritaki ...." hovyo kabisa mwanaume mwenye akili unaagiza unaletewa umekaa na kutulizana na aliyekuhudumia una msifu hata kama chakula kibaya na ikiwezekana unampa tip kama keep change.....hiyo ndio heshima ya mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…