Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo yako bwana mzee na hufungwi kuwa nayo..and btw there is no crime on whatever i have said chunga husda inaua
Nakupa talaka moja kwa kosa la utovu wa nidhamu kwa kunianika huku. Zoezi hili litakamilika mara moja leo hii baada ya mimi kurudi.Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Siku hizi Kuna majando kweli, mapori yenyewe hakuna, siku hizi uzungu mwingi pia.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nimekupa "like" Tano plsNavyopenda uwepo wa mwanaume wangu jikoni Mimi Jamani..
Yani sii ile muda wote..aje kidogo mara kiss za hapa na pale..kushtuliwa kidogo na vibao kunako wowowo..mara vikumbato vya nyuma na tumaneno tutam tam[emoji7]..
kijiko kinazimwa kidogo kinapigwa kimoja Cha chap chap[emoji39][emoji39]..Yani Ili mradi taflani...Naenjoy uwepo wake kunako jiko tena mnooo
Si kwetu bado tunafanya majando na unyago, ndomana wakwetu ukimkuta anafanya mambo ya ovyo wachache au kisiri Sana, Ila anajua anachofanya si Cho, na hata akifanya anajua kamkosea kungwi.Ndo Mana siku hizi wanaume wanaitwa wanaume suruali, maana wanayoyafanya ni aibu tupu
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.
Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Muda mwingine watu wanacomplicate maisha.Akiingia jikoni unapungukiwa nini.Kodi alipe yeye na pakuingia napo unampangia mashart kila kona hadi chumbani.Akienda kwa mchepuko huko yupo nae jikoni akija kwako anakukodolea tu macho
Navyopenda uwepo wa mwanaume wangu jikoni Mimi Jamani..
Yani sii ile muda wote..aje kidogo mara kiss za hapa na pale..kushtuliwa kidogo na vibao kunako wowowo..mara vikumbato vya nyuma na tumaneno tutam tam😍..
kijiko kinazimwa kidogo kinapigwa kimoja Cha chap chap😋😋..Yani Ili mradi taflani...Naenjoy uwepo wake kunako jiko tena mnooo
Basi kama ndio hao wapigwe tuKuna wengine wanaingiaga kwenye migahawa hii ya mitaani.
Wanaenda moja kwa moja jikoni na kuanza chagua nyama kama atakuwa ameagiza supu.
Atachukua mwiko na kuanza mwambia mama lishe nipe nyama hii huku anakaguachagua chagua.
Tabia hii nayo ni kero sana
Mwanaume kama huyo nikiishi nae nampa ngumi za kutoshaKuna wengine wanaingiaga kwenye migahawa hii ya mitaani.
Wanaenda moja kwa moja jikoni na kuanza chagua nyama kama atakuwa ameagiza supu.
Atachukua mwiko na kuanza mwambia mama lishe nipe nyama hii huku anakaguachagua chagua.
Tabia hii nayo ni kero sana
Ajengewe Sanamu huyu katikati ya Nchi...na andiko hilo lidumu milele na milele.Nimekupa "like" Tano pls
Bora hata awe mwizi wa nyama ila type hii ni wale wanaoweka uchafu waliopewa na waganga wao wa kienyeji kwenye misosi, ndio maana anakua mkali kwelikweli mwanaume anapoingia jikoni.Wanawake wengine wezi wa vipande vya Nyama....
Wanawake wanaotegemea ndumba na kuweka malimbwata kwenye msosi hua hawapendi kufatwafatwa jikoni.Niamini hajui Kupika.
Pili, hampendi.
Niamini Mkuu.
Mwanamke anayekupenda anavyofurahia uwe naye sehemu Kama hizo huku akikuonjesha vikaroti mkisaidizana kukata vitunguu
Wanawake wanaotegemea ndumba na kuweka malimbwata kwenye msosi hua hawapendi kufatwafatwa jikoni.