Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Nachukia wanaume wanaopenda kuja kuja jikoni

Kama ni mroho mroho akija jikoni mpe kazi hata ya kutwanga vitunguu thom au kuchuja nazi, ataacha,

Na kama anapenda kuonja basi weka mwiko kwenye mchuzi hakikisha mwiko umepata moto sawa sawa akileta kikono chake mkandamizie ule mwiko wa mchuzi ataacha tabia chafu ya kuonjea jikoni.
 
Kuna wengine wanaingiaga kwenye migahawa hii ya mitaani.

Wanaenda moja kwa moja jikoni na kuanza chagua nyama kama atakuwa ameagiza supu.

Atachukua mwiko na kuanza mwambia mama lishe nipe nyama hii huku anakaguachagua chagua.

Tabia hii nayo ni kero sana
Hii ndo tabia ya kukemewa sasa ila sio ile ya mtu kwenda kwenye jiko la nyumba yako mwenyewe. Unaenda kumsabahi mwandani wako jikoni halafu amaindi bila shaka atakuwa na utindio wa ubongo kama mtoa mada.
 
Navyopenda uwepo wa mwanaume wangu jikoni Mimi Jamani..

Yani sii ile muda wote..aje kidogo mara kiss za hapa na pale..kushtuliwa kidogo na vibao kunako wowowo..mara vikumbato vya nyuma na tumaneno tutam tam😍..

kijiko kinazimwa kidogo kinapigwa kimoja Cha chap chap😋😋..Yani Ili mradi taflani...Naenjoy uwepo wake kunako jiko tena mnooo
We ndio kajanja sasa
 
Mwingine alisema jitu unalipikia limekaa huko sebuleni hata kuja jikoni kukushika tako haliji akamalizia kwa kusema "kwani mimi dadaako" KUWAELEWA WANAWAKE WANATAKA NINI NI KAZI SANA🤣🤣🤣🤣
Wanawake ni wapuuzi kweli
 
mimi nikifika tu home jinoni break ya kwanza kunawa mikono, then jikoni. nitachukua matunda, nitamyenyemenya,au kitu chochote kizuri, then naitwa watoto wangu naanza kuwagawia ,wanapokula nakuwa nawaangalia, hapo najisikia vizuri kweli kweli nikiwaona wanakulakula. kuhusu kupika, mama watoto akinibembeleza kwa heshima, nampikia vizuri sana, kuna baadhi ya vyakula vingine yeye anajua kupika sana vingine namzidi kutokana na mazingira ambayo kila mtu amekulia. sawa na mhaya kupika ndizi na mpogoro kupika wali. hawawezi kulingana hata ufanyeje. jambo pekee ambalo siwezi kulifanya ni kuosha vyombo, kudeki na kufua wakati mama ni mzima wa afya.hilo ye mwenyewe anajua.
 
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana ujuzi na kile unachopika anaanza na kukuelekeza juu au anafika anafunua funua ulivyopika.

Yaani Mimi mwanaume kuingia jikoni tu kuangalia angalia kinachoendelea hata sipendi.
Wanawake mko tofauti aiseeee mke wangu ndo anapenda Sasa tukae wote jikoni huku akinipa stori mbili tatu, yaani kiufupi nke wangu anapenda sana Ile ameomba umsogezee mwiko au upawa ambao uko mbali kidogo hiyo ndio furaha yake hapend et yeye anapika jikoni Mimi naangalia tv, hata tv yenyewe anapenda tuangalie wote hahaha mko tofauti
 
We nawe umekosa mahaba..au ndo kupika tewali nyabo..nina wasi wasi na mapishi yako.
 
Back
Top Bottom