mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Toka nimeajiriwa miaka mingin iliyopita. , nimegundua boss wangu ananichukia sana, na anaonekana anapenda na kupendelea watu wengi bila sababu, hata wale ambao si watendaji wazuri.
Sio kwamba Mimi ni mchapa kazi, Wala sio kwamba Mimi ni mvivu, ni kawaida tu, bosi wangu amekuwa akieneza uzushi kuhusu Mimi kwenye vikao vyao vya juu, amekuwa akinisigina na kuongea uongo mwingi unaniathiri ninaposikia maneno hayo Kwa watu.
Watu wengi ofisini hawapendi bosi huyo, Kwa maana ni mtu wa kutunga maneno na uzushi mwingi. Chuki zake sizielewi kwasababu sina vigezo au utishiaji wa aina yoyote ya kuchukua cheo chake. Bosi huyu amekuwa akifurahi Kuona Mimi nikiwa na matatizo na kuteseka.
Na Sasa nimeamini huku maofisini Huwa Kuna unafiki mwingi, majungu mengi, bila sababu, mtu unaweza kuwa umekaa unajifanyia zako kazi zako, ila bado mtu akakuchukia na Ili Hali kakuzidi Kila kitu, pesa, cheo, mke Bora.
Nimegundua pia huku ofisini Kuna watu wanapenda kunyeyekea mabosi na kujipendekeza pasipo na sababu, lakini Kuna chuki nyingi na fitina katika maofisi yawe ya umma au binafsi.
Kiuhalisia imefika mahali Sasa, nataka kwenda kumloga huyo basi wangu mana naona chuki zimezidi kupita kiasi.
Na Mimi ni Sala zangu huyo boss abadilike ,lakini ni mtu asiyekubalika hata na baadhi ya watu wanapenda Haki.
Sio kwamba Mimi ni mchapa kazi, Wala sio kwamba Mimi ni mvivu, ni kawaida tu, bosi wangu amekuwa akieneza uzushi kuhusu Mimi kwenye vikao vyao vya juu, amekuwa akinisigina na kuongea uongo mwingi unaniathiri ninaposikia maneno hayo Kwa watu.
Watu wengi ofisini hawapendi bosi huyo, Kwa maana ni mtu wa kutunga maneno na uzushi mwingi. Chuki zake sizielewi kwasababu sina vigezo au utishiaji wa aina yoyote ya kuchukua cheo chake. Bosi huyu amekuwa akifurahi Kuona Mimi nikiwa na matatizo na kuteseka.
Na Sasa nimeamini huku maofisini Huwa Kuna unafiki mwingi, majungu mengi, bila sababu, mtu unaweza kuwa umekaa unajifanyia zako kazi zako, ila bado mtu akakuchukia na Ili Hali kakuzidi Kila kitu, pesa, cheo, mke Bora.
Nimegundua pia huku ofisini Kuna watu wanapenda kunyeyekea mabosi na kujipendekeza pasipo na sababu, lakini Kuna chuki nyingi na fitina katika maofisi yawe ya umma au binafsi.
Kiuhalisia imefika mahali Sasa, nataka kwenda kumloga huyo basi wangu mana naona chuki zimezidi kupita kiasi.
Na Mimi ni Sala zangu huyo boss abadilike ,lakini ni mtu asiyekubalika hata na baadhi ya watu wanapenda Haki.